The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 9,112
- 21,991
GT
Haya siyo mauaji ya kawaida tena ya kiongozi ambaye ni mama anayezaa kwa uchungu. Akina mama mnatakiwa mtoke hadharani kupinga huu unyama haukubaliki hata kidogo mkumbuke hao watoto mmewazaa kwa uchungu leo wanauliwa kama kuku haiwezekani.
Tukutane next time tutakuwa na nguvu zaidi
Haya siyo mauaji ya kawaida tena ya kiongozi ambaye ni mama anayezaa kwa uchungu. Akina mama mnatakiwa mtoke hadharani kupinga huu unyama haukubaliki hata kidogo mkumbuke hao watoto mmewazaa kwa uchungu leo wanauliwa kama kuku haiwezekani.
Tukutane next time tutakuwa na nguvu zaidi