Akili yake inakuwa sawa kuna kipindi aiko sawa, tatizo ni nini?

estlyjonathan

Member
May 26, 2016
84
122
Kwema humu ndani,

Nimekuja kugundua mpenzi wangu hayuko sawa naamanisha kuna msimu akili yake inakuwa sawa kuna kipindi akili yake aiko sawa sijui tatizo nini? Mwenye kujua jamani mana hapa nilipo nimekuja kuambiwa na rafiki yake wa karibu huyu mtu nikianza kuishi nae si atakuja kuniulia ndani pindi nitakapo muudhi.

Mwenye kujua hili tatizo anisaidie ata kimawazo nitamsaidiaje.
 
Kwema humu ndani,

nimekuja kugundua mpenzi wangu hayuko sawa naamanisha kuna msimu akili yake inakuwa sawa kuna kipindi akili yake aiko sawa sijui tatizo nini? mwenye kujua jamani mana hapa nilipo nimekuja kuambiwa na rafiki yake wa karibu huyu mtu nikianza kuishi nae si atakuja kuniulia ndani pindi ntakapo muudhi

mwenye kujua hili tatizo anisaidie ata kimawazo nitamsaidiaje
Ngoja niwaite watumishi Benny, Bonny, Raimundo, Numbisa , emmyta geniveros na Shunie ili waje mlimani huku kukufanyia maombi.

Ni wajibu wetu kukuombea kifo chema.

Fumba macho maombi yaanze.
 
Kama unampenda kwa dhati hakuna shida, kwa sababu ni ugonjwa hivyo unakuwa unajua kuwa kuna kipindi yupo sawa na kipindi hayupo sawa na utajua jinsi ya kumhudumia.

Kuna dada mmoja alikuwa na mume wake mwenye tatizo kama hilo tena yule kaka alikuwa akifikia hiyo hali anakuwa kichaa kabisa kama wiki mbili hivi then anakuwa sawa. Waliishi wakazaa watoto wao bahati mbaya mwanamke alifariki akamuacha mumewe. So inawezekana kuwa nae
 
Kama unampenda kwa dhati hakuna shida, kwa sababu ni ugonjwa hivyo unakuwa unajua kuwa kuna kipindi yupo sawa na kipindi hayupo sawa na utajua jinsi ya kumhudumia.

Kuna dada mmoja alikuwa na mume wake mwenye tatizo kama hilo tena yule kaka alikuwa akifikia hiyo hali anakuwa kichaa kabisa kama wiki mbili hivi then anakuwa sawa. Waliishi wakazaa watoto wao bahati mbaya mwanamke alifariki akamuacha mumewe. So inawezekana kuwa nae
siku zikimcharukia anaweza kukoroga mchanga badala ya sukari kwenye chai... usinywe sasa uone kitakachofata!!!
 
siku zikimcharukia anaweza kukoroga mchanga badala ya sukari kwenye chai... usinywe sasa uone kitakachofata!!!
Hahaha alikuwa anamfungia ndani, tatizo dawa ndio alikuwa anagoma kunywa sasa hapo shughuli inakuwa pevu hadi anywe
 
Hahahaa sala hio
15538732_859956294107316_6237362411620270080_n.jpg
kazi kwake
Ngoja niwaite watumishi Benny, Bonny, Raimundo, Numbisa , emmyta geniveros na Shunie ili waje mlimani huku kukufanyia maombi.

Ni wajibu wetu kukuombea kifo chema.

Fumba macho maombi yaanze.
 
Kuna mambo mawili nimeyahic toka kwako;
1- Huenda aliekuja kukwambia anamtaka huyo mpenzi wako

2-Mapenzi huenda na wivu so jitahidi aupunguze na were ndio wakuanza kumpunguzisha hizo demo ktk malezi uliomzoesha
 
Back
Top Bottom