The Technologist
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,395
- 2,801
Hii nayo kazi kushika maneno magumu kama haya 💯Yeah, TATAKI wameliachia hilo. Lugha ni sanaa kwa kuwa hukua
Hili suala ukiwauliza wataalam wa programu na computer engeering wanaweza kutoa jibu sahihi. Robot ni kama software tu yenye physical shape. Hata JF kwa namna inavyooperate ni kama AI maana iko automated,Leo kuna habari nilikua nafuatilia kuhusu shule moja ya kufundisha maroboti huko China, sasa katika maoni ya wachangiaji wakaonesha hofu zao kwa maisha yetu ya baadae kwamba kadri tecnolojia inavyokua, haya maroboti yakishirikiana na mfumo mzima wa mawasiliano yataweza kujizalisha yenyewe, kujifunza hisia za kibinadamu na kuanza kuhoji lengo la maisha kitu kitakochopelekea sintofahamu kubwa duniani.
Watu wachache waliojitetea kuhusu hawa watu bandia walisema kama wewe ila wakawa tofauti kidogo kwa kusema; hizi robot haziwezi kutusumbua sababu ikitokea tutakata umeme,tutaharibu mawasiliano nk bila kujua wakati huo akili mnemba itakua inacontral kila kitu
Waonaje hili?
💯AI ni sawa na wewe ni Mfalme, na AI ni kijana wako, sasa, unamuita AI unamwambia tekeleza kila maagizo utakayopewa na watu ninaowatawala, na mipaka yako ni hii na hii, kumbuka wewe ndio unaweka mipaka.
AI inachukua ulizo lako na kuchakata data zilizopo na kulinganisha na lipi litakuwa jibu la swali lako.
Ni kutokana na data zilizopo, ndio inafanya yale inafanya, haitengezi kitu kipya.
Ni ngumu AI kumreplace binadamu, ni kitu cha msaada.
Unaongeleaje a chain of thoughts kwenye AI?Kweli tupu, AI ni kama calculator, kifaa cha kukuwezesha kufanya kazi zako
NilikoseaNi akili mnendo au umekosea
Kwel kbsAkili ya mwanadamu ni ya kipekee, cha kuzingatia kwanza hio Artificial Intelligence imeindwa na akili la binadamu, aliye tangulia ametangulia tu.
Akili ya mwanadamu ipo kwa mfumo wa kujifunza kila kila wakati, inajifunza na kugundundua magunduzi mapya.
Bado ni nadra sana hio akili undwe kuizidi akili ya mwanadamu kwa kila kitu.
AI ni akili ya kua trained by humans.. Sema watu hawajui how machine works..Leo kuna habari nilikua nafuatilia kuhusu shule moja ya kufundisha maroboti huko China, sasa katika maoni ya wachangiaji wakaonesha hofu zao kwa maisha yetu ya baadae kwamba kadri tecnolojia inavyokua, haya maroboti yakishirikiana na mfumo mzima wa mawasiliano yataweza kujizalisha yenyewe, kujifunza hisia za kibinadamu na kuanza kuhoji lengo la maisha kitu kitakochopelekea sintofahamu kubwa duniani.
Watu wachache waliojitetea kuhusu hawa watu bandia walisema kama wewe ila wakawa tofauti kidogo kwa kusema; hizi robot haziwezi kutusumbua sababu ikitokea tutakata umeme,tutaharibu mawasiliano nk bila kujua wakati huo akili mnemba itakua inacontral kila kitu
Waonaje hili?
Inaonekana tuendako mashine zitachukua nafasi ya mwanadamuAI ni akili ya kua trained by humans.. Sema watu hawajui how machine works..
Apo sawa💯Nilikosea
Kabisa umesema kweli mkuu,ipo kwa ajili ya kurahisisha kazi,tokana na kile ilichotakiwa ifanye,na haina utu, upendo na hekima,itabaki hivyo siku zote.AI ni sawa na wewe ni Mfalme, na AI ni kijana wako, sasa, unamuita AI unamwambia tekeleza kila maagizo utakayopewa na watu ninaowatawala, na mipaka yako ni hii na hii, kumbuka wewe ndio unaweka mipaka.
AI inachukua ulizo lako na kuchakata data zilizopo na kulinganisha na lipi litakuwa jibu la swali lako.
Ni kutokana na data zilizopo, ndio inafanya yale inafanya, haitengezi kitu kipya.
Ni ngumu AI kumreplace binadamu, ni kitu cha msaada.
Yes machine ndo Zitafanya kaziInaonekana tuendako mashine zitachukua nafasi ya mwanadamu