shabiki
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 965
- 896
Njemba moja inayopenda chakula kuliko maelezo ikatembelea ukweni siku moja.Sasa wakati imekaa kibarazani inapiga soga na Mkwe wake.Akatokea mama mkwe akaanza kumkimbiza kuku mmoja mkubwa.aliposhindwa akamwita mjukuu wake Andunje aje amsaidie.Sasa andunje alipomkamata tu yule kuku,Njemba ikaropoka kwa sauti;akaangwe tu,usiweke mchuzi.kusema hivyo mama mkwe katoka jikoni na mwiko anafoka;Anataga huyu,mwanaume mrafi wewe sijapata kuona huna haya loh!em andunje mpeleke bandani!