Mkama makongo
Member
- Feb 10, 2014
- 5
- 1
Jaman napenda kuuliza,ajira mwaka huu hazipo? Mbona kimya.
Jaman napenda kuuliza,ajira mwaka huu hazipo? Mbona kimya.
Swali lako uliza ukiona kimya had tar 20, sahz umewah sana kuilaumu serikali sikivu ya ccm kumbuka last year post zilitoka tar 14 feb.
Teacherrrrsss u are too much now, si msubiri jameni
sa kama nyie mnahaha hivi waliosoma zile kozi za kutafuta kazi miaka 5 wasemeje?
zikitoka mtaambiwa tu