Naombeni msaada wenu wana jf, post za ualimu sekondari ni lini maana nimesikia tu jama naibu waziri kazungumza ila sijajua ni lini amesema atatoa post hizo.
Hadi website yao wameamua tusi itembelee kabisa sijui ndo wamefulia "Suspended Domain" kila siku kesho nitawaibukia hukohuko wizarani nitakinukisha mpaka wanipe majibu alafu nitawaletea humu watu washavurugwa still wao wanendekeza politics bhana jinga sana!