Ajira za Utumishi (Ajira Portal)

Ajira za Utumishi (Ajira Portal)

Rex kapula

Member
Joined
Jul 15, 2022
Posts
5
Reaction score
4
Habari wanajukwaa,

Mimi ni kijana niliyeomba ajira utumishi kupitia Dirisha la ajira za utumishi (Ajira portal). Mpaka sijajua ni lini watatoa short list yao.

Lakini cha kushangaza kuingia kwenye wavuti ya taasisi niliyoomba (MoCu) nimeona majina ya watu kuitwa kwenye interview. Na ukiangalia ni post ile ile niliyoomba.

Ukirudi kwenye dirisha la ajira wanasisitiza kuwa endapo hutachaguliwa utajulishwa kupitia email na kupitia akaunt yako ya maombi, hivyo hivyo ukifaulu basi utajulishwa kupitia njia hizo kama nilivyotaja hapo juu.

Je, huo ndio mtindo wao wa utoaji ajira? Au ni kucheza na akili za watu tu?

Msaada kwa anayejua!!
 
Kwenye website ya sekretarieti ya ajira wametoa majina ya walioitwa interview MoCu.
Kama haupo kwenye orodha unatakiwa kuingia kwenye akaunti yako na utakuta sababu ya kwanini haukuitwa kwa ajili ya usaili.

Kama sababu (ya kutokuitwa) waliyoieleza sio ya kweli au hauhusiki nayo, unafanya mawasiliano nao, kisha jina lako litaongezwa katika orodha ya walioitwa kwa ajili ya usaili.

Kila la heri
 
Habari wanajukwaa,

Mimi ni kijana niliyeomba ajira utumishi kupitia Dirisha la ajira za utumishi (Ajira portal). Mpaka sijajua ni lini watatoa short list yao.

Lakini cha kushangaza kuingia kwenye wavuti ya taasisi niliyoomba (MoCu) nimeona majina ya watu kuitwa kwenye interview. Na ukiangalia ni post ile ile niliyoomba.

Ukirudi kwenye dirisha la ajira wanasisitiza kuwa endapo hutachaguliwa utajulishwa kupitia email na kupitia akaunt yako ya maombi, hivyo hivyo ukifaulu basi utajulishwa kupitia njia hizo kama nilivyotaja hapo juu.

Je, huo ndio mtindo wao wa utoaji ajira? Au ni kucheza na akili za watu tu?

Msaada kwa anayejua!!
Pia wanakera, maombii mnafanya mwezi huu, then kuitwa kwenye usahili ni baada ya miezi kadhaa...
 
Habari wanajukwaa,

Mimi ni kijana niliyeomba ajira utumishi kupitia Dirisha la ajira za utumishi (Ajira portal). Mpaka sijajua ni lini watatoa short list yao.

Lakini cha kushangaza kuingia kwenye wavuti ya taasisi niliyoomba (MoCu) nimeona majina ya watu kuitwa kwenye interview. Na ukiangalia ni post ile ile niliyoomba.

Ukirudi kwenye dirisha la ajira wanasisitiza kuwa endapo hutachaguliwa utajulishwa kupitia email na kupitia akaunt yako ya maombi, hivyo hivyo ukifaulu basi utajulishwa kupitia njia hizo kama nilivyotaja hapo juu.

Je, huo ndio mtindo wao wa utoaji ajira? Au ni kucheza na akili za watu tu?

Msaada kwa anayejua!!
Account Yako ya ajira Portal kwenye my application wamekuandikia nn
 
Ni kweli aisee, kumekua na delays sana
Mambo yawe mepesi jamani, pindi mtu anafungua account, wawe Wana hakiki taarifa za mtu, baada ya hapo kazi ikitokea Kila aliye apply anaitwa, bila kufatilia fatilia mara sijui hivi vile...
 
Mkuu mm pia nlishawah omba kazi huko ajira portal but Mpaka Leo nnaona tu "RECEIVED" pale kwenye application status vp hapo
Sio wewe tu mimi pia bado inaandika received na watu washaitwa na wamesha ajiliwa mpaka wengine wanakalibia kustaff 😀😀. Kuna mmoja hapo nimemuelewa, kasema usipoitwa ni kuwapigia simu kufanya nao mawasiliano.
 
Sio wewe tu mimi pia bado inaandika received na watu washaitwa na wamesha ajiliwa mpaka wengine wanakalibia kustaff . Kuna mmoja hapo nimemuelewa, kasema usipoitwa ni kuwapigia simu kufanya nao mawasiliano.
Nimecheka walahi ..
 
Sio wewe tu mimi pia bado inaandika received na watu washaitwa na wamesha ajiliwa mpaka wengine wanakalibia kustaff 😀😀. Kuna mmoja hapo nimemuelewa, kasema usipoitwa ni kuwapigia simu kufanya nao mawasiliano.
Punguza uongo
 
wakuu naomba muongozo wa maswali ya written ya artisan rough reck kwa anayejua
 
Sio wewe tu mimi pia bado inaandika received na watu washaitwa na wamesha ajiliwa mpaka wengine wanakalibia kustaff . Kuna mmoja hapo nimemuelewa, kasema usipoitwa ni kuwapigia simu kufanya nao mawasiliano.
 
Karibuni Kalynda e-commerce tutengeneze commission pamoja mtandaoni,, kwa mtaji wa 20,000 mpaka 200,000 kwa wanaoanza utakuwezesha kupata commission yako ya sh.800 mpaka 8,000 kwa siku..Vitendea kazi ni simu yako na bando lako popote ulipo Tanzania..Mwenye uhitaji nicheki WhatsApp 0657940974 nikupe link..mwenye uhitaji wa kujua zaidi tembelea ofc za Kalynda PSSSF Tower 30th floor karibu na TRA HQ maeneo ya Stesheni..
 
Karibuni Kalynda e-commerce tutengeneze commission pamoja mtandaoni,, kwa mtaji wa 20,000 mpaka 200,000 kwa wanaoanza utakuwezesha kupata commission yako ya sh.800 mpaka 8,000 kwa siku..Vitendea kazi ni simu yako na bando lako popote ulipo Tanzania..Mwenye uhitaji nicheki WhatsApp 0657940974 nikupe link..mwenye uhitaji wa kujua zaidi tembelea ofc za Kalynda PSSSF Tower 30th floor karibu na TRA HQ maeneo ya Stesheni..
I hope it's not Ponzi Scheme.
 
Sio wewe tu mimi pia bado inaandika received na watu washaitwa na wamesha ajiliwa mpaka wengine wanakalibia kustaff . Kuna mmoja hapo nimemuelewa, kasema usipoitwa ni kuwapigia simu kufanya nao mawasiliano.
Daaahh kweli mpaka wengine wanaelekea kustaafu
 
Tulia tu utaitwa kama umekidhi vigezo vyao hata mm nimeomba MOcu mpka leo account inasoma recevied tu
 
Back
Top Bottom