ajira za sido vipi?

ajira za sido vipi?

marioz

Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
7
Reaction score
5
tangu januari kuna mjomba wangu alifanya interview ya kazi pale utumishi kwa nafasi za credit officer. mpaka leo naona kimya kwani hawajaita wala kutoa kwenye web yao. au tayari mchakato umekwisha? please wadau tusaidianeni wenye info za hiyo kitu
 
Back
Top Bottom