Jamani tueleweshane nimeona wametangaza hzo ajira kwa mf.mtendaji wa kata kwa mkataba sa sijaelewa ukipata ukafanya na wakat huo huo ukapata kazi kwingine unaruhusiwa kutoka?
Asante mkuu nimekusoma maana sikuwa na idea yeyote,be blessedMkataba ni miezi 3 mitatu unaweza kuacha Kwa utaratibu ulianishwa ktk mkataba.
Jamani tueleweshane nimeona wametangaza hzo ajira kwa mf.mtendaji wa kata kwa mkataba sa sijaelewa ukipata ukafanya na wakat huo huo ukapata kazi kwingine unaruhusiwa kutoka?
hizo kazi...zikoje..heb tujulishe bas