jaman huku shinyanga nimekuta kuna NGO inaitwa light dream org(lido) imetangaza ajira 260 wasim
amiz wa wilaya,kata,wa mitaa tu wanaitajika 200.fomu wanasema ni bure lkn ukifika fomu imeandikwa inaitajika 2000 ya usajil na 4000 ya kitambulisho jaman kunamtu anaijua hii NGO na shart ulipe pesa ndo ujaze fomu.
amiz wa wilaya,kata,wa mitaa tu wanaitajika 200.fomu wanasema ni bure lkn ukifika fomu imeandikwa inaitajika 2000 ya usajil na 4000 ya kitambulisho jaman kunamtu anaijua hii NGO na shart ulipe pesa ndo ujaze fomu.