Ajira serikalini kumwagwa

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
tuliichagua wenyewe.


swissme
Mabadilikoooo....., mabadiliiikoooo, mabadilikooooo......L.O.W..., Nyie c vijana mlikua hamnikubali....hasa wa vyuo.....MTAISOMA NAMBA SASA..NDO MALIPO YENU HAPAHAPA HAKUNA KUREMBA.
 
Kwa serikari hiii majanga sana ila kwa waliosoma Afya ukiona hutaki kypoteza experience Fanya kosa kwa makusundi ili ufungwe ukatibu magereza
 
Police wamemalza tatzo la kulia njaa, uhamiaji nao tayr,waliositishiwa ajira may kada ya halmashauri walokuwa na Id tayr wamerdshwa kazn na tayr wamelipwa,waliobaki ni Mahakama na afya waliositishiwa June na walikua hawajapata ID ndo bado wanaisoma namba! Pamoja na ajira Mpya kwa wote namba inaendelea kusomeka mbele kwa mbeleeeeeeeeee! Ngumu kumeza!
 
Daaah ilo swala la wafanyakaz hewa ndio linaniumiza na usiulize kwa nn linaniumiza nabaki nalia tuuuu......!!!!
Ivi kwel mtu katumikia kazi yake kwa uaminifu,kwa weledi wa hali ya juu,amekaa kazini zaid ya miaka 18....leo unamwambia eti cheti feki kalale nyumbani kweli...!!!!
Mbona kazi yake anaifanya vizur na bila kuiharibu!!?
Unataka akafanye nini mtu kama huyo!!?
Mmmmmh jaman Mungu anawaonaaa!!!
 
Pole bwana! Mkuu umekutwa na mkasa huu? Je wamemaliza zoez lao hlo?
 
Ccm mbele kwa mbeleeeeeee
Tuliipenda wenyeweeeeeeeeeee
Chaguo letu wenyeweeeeeee!

Wavimbe na wapasukeeeee!


Ngoja tuisome namba eeeeeeeeee.....2019
 
Licha ya kuwa naku support ila nyie mafisiem ndo mmeuza mechi kwann hamkututaarifu mapema kwamba jamaa ni FISIMAJI tusimpe kura zetu....kudadeki...YAANI UMEJINYONGA NA KAMBA YAKO MWENYEWE.....NYIE HAMNA TOFAUTI NA YUDA ISCARIOT...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…