sekion27
Member
- Jul 25, 2021
- 56
- 37
Kuna kuitwa kweli kwenye interview au ndiyo tuendelee na mambo yetu kama tokea mwezi wa 4 hujaitwa na sasa hivi ni 11, si bora hiyo system ifutwe tu watu tufanye mambo yetu?
Kuliko kila week au mwezi unaangalia kitu ambacho hakipo kwenye mfumo, ni udanganyifu.
.
Kuliko kila week au mwezi unaangalia kitu ambacho hakipo kwenye mfumo, ni udanganyifu.
.

