Ajira portal ni kero sana

Ajira portal ni kero sana

Joined
Aug 17, 2017
Posts
45
Reaction score
17
Kwa muda wa siku tatu kuapload profile picture tu imekua ngumu, wanasema ishu ni mtandao, nimeamka saa 7 usiku kuapload, imekua ngumu pia.
 
kwa muda wa siku tatu kuaproad profile picture tu imekua ngumu, wanasema ishu ni mtandao, nimeamka saa 7 usiku kuapload , imekua ngumu pia
Tuliza munkari kijana unakimbilia wapi? Hapo hujawa hata short listed ushaanza kua na wenge interview utaweza kweli ?

Ushaambiwa tumia browser zinazokubali Ajira portal ku-function, nazo ni Google chrome & Opera zingine usiguse maana zitazingua, Sasa unataka nini kingine ?
 
Kuwa serious nenda stationary usaidiwe kwa haraka mkuu.
Shida hata sio stationary weng hawajui kucheza na simu zao pia setting za chrome

Mimi maombi yangu ya mwisho kufanya kwenye computer ama stationary ilikuwa ya kwenda chuon tena round 1.nikakosa
Kuanzia hapo nakaa na simu yangu mwenyewe natuma maombi.
Ajira portal
Tamisemi
Na kwingn ni mm na simu yangu tu

Nascan documents basi

Ukijua kucheza na chrome kuna vitu hukosi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu passport size yako inabidi iwe na pixel 300*300 na isizidi Kb 500.
Tafuta kompyuta uedit hiyo picha
 
Sorry nilituma maombi ya kazi UDSM ila wakati natuma sikuwa nimeweka profile picha, nimeweka picha deadline imeshapita, je? Kunaweza kukawa na shida na kusababisha nisiwe shortlisted. Msaada wadau🙏
 
Sorry nilituma maombi ya kazi UDSM ila wakati natuma sikuwa nimeweka profile picha, nimeweka picha deadline imeshapita, je? Kunaweza kukawa na shida na kusababisha nisiwe shortlisted. Msaada wadau
Yes ila Subilia lolote linaweza kutokea niliwahi piga simu wakaniambia ukitaka ku edit information, edit before deadline kwa upande wangu sikuwa shortlisted
 
Sorry nilituma maombi ya kazi UDSM ila wakati natuma sikuwa nimeweka profile picha, nimeweka picha deadline imeshapita, je? Kunaweza kukawa na shida na kusababisha nisiwe shortlisted. Msaada wadau
Hakuna Shida.... Kuwa na Amani.
 
Back
Top Bottom