Naomba mwenye no. ya Mulugo au Kawambwa anitupie hapa, na mimi yamenikuta hayo hayo.
Jamani Naombeni Ushauli: Nimetimuliwa Hom Sasa Naishi Maisha taiti Wanahisi Nilifeli Mtihani Ndomaana Sjapata Kazi. Nawaambia Post Hazjatoka Lakni Hawaamin! Noma Zaid Gazeti La Mwananchi Lilpoandika SERIKALI YAMWAGA AJIRA KWA WALIMU Ndo Nikafngashiwa Vrago
Ndo maisha usikate tamaa,endelea na mishe nyingine