Ajira mpya za walimu wa Sekondari,shule za msingi na vyuo. Inasemekana zinatoka kati ya JANUARY 5-15 Mwakani. Na wote waliomaliza vyuo wataajiriwa, Maisha mema walimu wetu.
ajira mpya za walimu wa sekondari,shule za msingi na vyuo. Inasemekana zinatoka kati ya january 5-15 mwakani. Na wote waliomaliza vyuo wataajiriwa, maisha mema walimu wetu.
Ajira mpya za walimu wa Sekondari,shule za msingi na vyuo. Inasemekana zinatoka kati ya JANUARY 5-15 Mwakani. Na wote waliomaliza vyuo wataajiriwa, Maisha mema walimu wetu.
Walimu, nlimsikia mkuu akisema walimu wakigoma hata form 6 leavers watafundsha,
Hii ni dharau nawaomba mjtahd matokeo yaendelee kuwa mabaya hadi NECTA washndwe kufanya standardization.
Inakuwa ngumu kuingia kichwani kwamba ni nini hasa kinachochelewesha post za ualimu kwa maana wizara ya elimu walishatoa na takwimu za idadi kamili ya walimu iliyowaajiri mwaka huu ambayo ni 28746!
Wanazingua tu, ukweli utakuwa pale wakitoa post wala sio maneno maana hata kwenye kanga yapo. So msisikilize chochote wandugu ambao mnasubilia post maana ni siasa tu. Wale ni original politicians.