Ajira kwa wataalamu wa cctv camera na security system

Ajira kwa wataalamu wa cctv camera na security system

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,256
Reaction score
3,892
hivi kwa mtu aliyepata mafunzo ya cctv camera,fire alarm systems, intruder na other security system,

hivi soko lake la ajira limekaa vipi, maana nafikiria kufanya kazi nyingine tofauti na hii, kwa mliopitia hebu tujuzanee
 
nenda kwenye makampuni makubwa ya security kama ultimate, warrior, kk security n.k uwa wanavitengo ivyo. wao ndo uwa wanafunga security systems kwenye makampuni makubwa. otherwise jiajili ingia mtaani tafuta dili kama izo, zipo mingi tu.
 
Mm napendekeza kama unamtaji, unaweza cheki mchakato wa kufungua kampuni yako, au kama mtaji ni tatizo unaweza kutafuta watu na kujiunga wawili au watatu. Mkafungua kampuni yenu ambayo inaweza kufanya kazi karibia zote za security systeme, mfano (intruder, fire control systeme, access control, electric fance, cctv cameras, mageti ya kufunguka kwa umeme, nk) hapo pia ni vizuri mmoja wenu akawa anaufahamu wa Information Technology, maana sasahivi technology inazidi kwenda mbele, hata mifumo mingi ya ulinzi wa majumbani au ofisi unaweza kuangalia au kuuongoza ukiwa mbali kwa kutumia Internet.
Kuhusu kuajiriwa, unaweza kutafuta ajira, lakin ni makampuni machache yenye uwezo wa kulipa mshahara mzuri. Kwamfano hayo makampuni ya ulinzi, ndiyo kabisaaa yanalipa mshahara kiduchu!
 
Mm napendekeza kama unamtaji, unaweza cheki mchakato wa kufungua kampuni yako, au kama mtaji ni tatizo unaweza kutafuta watu na kujiunga wawili au watatu. Mkafungua kampuni yenu ambayo inaweza kufanya kazi karibia zote za security systeme, mfano (intruder, fire control systeme, access control, electric fance, cctv cameras, mageti ya kufunguka kwa umeme, nk) hapo pia ni vizuri mmoja wenu akawa anaufahamu wa Information Technology, maana sasahivi technology inazidi kwenda mbele, hata mifumo mingi ya ulinzi wa majumbani au ofisi unaweza kuangalia au kuuongoza ukiwa mbali kwa kutumia Internet.
Kuhusu kuajiriwa, unaweza kutafuta ajira, lakin ni makampuni machache yenye uwezo wa kulipa mshahara mzuri. Kwamfano hayo makampuni ya ulinzi, ndiyo kabisaaa yanalipa mshahara kiduchu!

SAWA nashukuru sana kwa ushauli mzuli ulionipatiaa sasa angalau naanza pata pichaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom