Ajira Kuwait

20% ya mshahara wa kwanza au kila mshahara?
 
Nawaonya HUSITHUBUTU,narudia HUSITHUBUTU,nasisitiza HUSITHUBUTU,nakazia HUSITHUBUTU kwenda huko bila kuunganishwa na mtu unayemjua wewe mwenyewe

Jpili njema ila msisahu ilo neno lenya herufi kubwa.
Hilo neno lina maana gani kwa kiswahili please tusaidie sie waswahili tupate kuelewa
 
Hapo yanayo hitajika ni:
1. Figo
2. na viungo vingine muhimu vya BINADAMU
 
Unajua swala za ajira za mataifa kama hayo na kwingineko yanayokosa legality elements huwa yana ukakasi given mazingira ya sasa kuwa kuna swala la human trafficking.

Kuna watu wanachukuliwa hivyo hivyo ila wanapofika huko mambo yanakuwa ni mengi. Wapo wanaofanikiwa na pia wapo wanaofeli.

Kuna human organ harvesting. Mambo ni mengi sana.

Ni vema tukawa makini sana wadau.....


Na jambo la msingi la kuzingatiwa ni kwa wale mnaokwenda taifa lolote hakikisha kuna ubalozi wa Tanzania na wawe na taarifa za uwepo wako katika inchi husika.... Acha address ya utapokwenda kuishi na majina na vitambulisho vya mwenyeji wako na details zote muhimu.
 
Huko hakuna unyanyasaji kama kule Oman?
Wala hakuna unyanyasaji kama kule Oman.huko ni amani tu ila kwa ushauri ni bora ukanunua kabisa pampas zako uende nazo maana huko bei ya pampas ipo juu sana.
 
Mzee wangu alienda Saudi waliahidiwa mishahara minono.Walipofika wakanyangโ€™anywa passports mshahara chini mateso juu ya mateso.Go West go East home is the best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ