Ajira IPP Touchmate zinapatikana vipi?

Ajira IPP Touchmate zinapatikana vipi?

Joined
Oct 20, 2017
Posts
20
Reaction score
18
frends habr zenu Leo mapema kymetangazwa kuanzishwa kwa kampun ya kutengeneza simu , ipad na computer kwa ushirikiano wa kampun ya touhmate kutoka Japan na Reginald meng sasa wapendwa kampun hyo itaanza kaz baad ya miez mitatu sasa nilichokua naomba kufaham kutoka kwen n jinsi gan mtu anaweza omba kaz na kma bdo hawajatangaza bas wakitangaza tushirikishane maana kwa taarfa nilizo nazo n kwamba kampun itaanza na wafanyakaz 2000 so kwa mwenye kuelewa jinsi ya kuomba nafas ya kaz anisave
 
frends habr zenu Leo mapema kymetangazwa kuanzishwa kwa kampun ya kutengeneza simu , ipad na computer kwa ushirikiano wa kampun ya touhmate kutoka Japan na Reginald meng sasa wapendwa kampun hyo itaanza kaz baad ya miez mitatu sasa nilichokua naomba kufaham kutoka kwen n jinsi gan mtu anaweza omba kaz na kma bdo hawajatangaza bas wakitangaza tushirikishane maana kwa taarfa nilizo nazo n kwamba kampun itaanza na wafanyakaz 2000 so kwa mwenye kuelewa jinsi ya kuomba nafas ya kaz anisave
mzee baba hizo Ajira bado sana coz Kiwanda chenyewe bado duh!!
 
frends habr zenu Leo mapema kymetangazwa kuanzishwa kwa kampun ya kutengeneza simu , ipad na computer kwa ushirikiano wa kampun ya touhmate kutoka Japan na Reginald meng sasa wapendwa kampun hyo itaanza kaz baad ya miez mitatu sasa nilichokua naomba kufaham kutoka kwen n jinsi gan mtu anaweza omba kaz na kma bdo hawajatangaza bas wakitangaza tushirikishane maana kwa taarfa nilizo nazo n kwamba kampun itaanza na wafanyakaz 2000 so kwa mwenye kuelewa jinsi ya kuomba nafas ya kaz anisave
Jifunze kwanza kuandika vizuri, ajira utapata tu.
 
frends habr zenu Leo mapema kymetangazwa kuanzishwa kwa kampun ya kutengeneza simu , ipad na computer kwa ushirikiano wa kampun ya touhmate kutoka Japan na Reginald meng sasa wapendwa kampun hyo itaanza kaz baad ya miez mitatu sasa nilichokua naomba kufaham kutoka kwen n jinsi gan mtu anaweza omba kaz na kma bdo hawajatangaza bas wakitangaza tushirikishane maana kwa taarfa nilizo nazo n kwamba kampun itaanza na wafanyakaz 2000 so kwa mwenye kuelewa jinsi ya kuomba nafas ya kaz anisave
Tuliza mshono uko speed sana Mkuu.....
 
frends habr zenu Leo mapema kymetangazwa kuanzishwa kwa kampun ya kutengeneza simu , ipad na computer kwa ushirikiano wa kampun ya touhmate kutoka Japan na Reginald meng sasa wapendwa kampun hyo itaanza kaz baad ya miez mitatu sasa nilichokua naomba kufaham kutoka kwen n jinsi gan mtu anaweza omba kaz na kma bdo hawajatangaza bas wakitangaza tushirikishane maana kwa taarfa nilizo nazo n kwamba kampun itaanza na wafanyakaz 2000 so kwa mwenye kuelewa jinsi ya kuomba nafas ya kaz anisave
Duuuuu unanikumbusha jamaa alienda kuomba kazi kampuni fulani na katika maombi alieleza kutokana na mfanyakazi wa position husika kufariki aka attach mpaka cheti cha kifo kwa ajili kumuhakikishia bosi wa kampuni kuwa anauhakika na anachomaanisha
 
Kwa uandishi huu, sijui utaajiriwa kitengo gani hapo kwenye hicho kiwanda.
 
Wakati bwana mengi akiendelea na kujenga hicho we nenda kajifunze kuandika kwanza.

Huwenda akimaliza ujenzi na wewe utakuwa umeshahitimu kuandika vizuri.
 
Jifunze kichaga halafu iende kibololoni ukakae hata miez m3 ili uoze meno hapo ndo utafikiliwa
 
Bora ukaulizie ajira pale BAGAMOYO SUGAR
 
frends habr zenu Leo mapema kymetangazwa kuanzishwa kwa kampun ya kutengeneza simu , ipad na computer kwa ushirikiano wa kampun ya touhmate kutoka Japan na Reginald meng sasa wapendwa kampun hyo itaanza kaz baad ya miez mitatu sasa nilichokua naomba kufaham kutoka kwen n jinsi gan mtu anaweza omba kaz na kma bdo hawajatangaza bas wakitangaza tushirikishane maana kwa taarfa nilizo nazo n kwamba kampun itaanza na wafanyakaz 2000 so kwa mwenye kuelewa jinsi ya kuomba nafas ya kaz anisave

Jitahidi sana Kununua Kitabu chake cha I CAN, I MUST and I WILL kisha atakufikiria haraka na utafanikiwa huko.
 
Back
Top Bottom