IPYANA MWASAMBUNGU Member Joined Mar 6, 2014 Posts 25 Reaction score 6 Apr 17, 2017 #1 Jamani nini kinaendelea kwa tulio jaza mikataba, tukapewa vituo vya kazi na tukasitishiwa ajira mwaka jana? afisa kilimo na mifugo UYUI-TABORA?
Jamani nini kinaendelea kwa tulio jaza mikataba, tukapewa vituo vya kazi na tukasitishiwa ajira mwaka jana? afisa kilimo na mifugo UYUI-TABORA?
Nyatunyau Senior Member Joined Jan 20, 2017 Posts 152 Reaction score 111 Apr 18, 2017 #2 Wenzako wameshapigiwa simu kurudi kuripoti vituo vya kazi tangu mwezi ulioisha Lakin ajira zenu zinatambulika rasmi kuanzia April 6.fuatilia kwa mwajiri wako mkuu
Wenzako wameshapigiwa simu kurudi kuripoti vituo vya kazi tangu mwezi ulioisha Lakin ajira zenu zinatambulika rasmi kuanzia April 6.fuatilia kwa mwajiri wako mkuu
Askari Muoga JF-Expert Member Joined Oct 22, 2015 Posts 6,112 Reaction score 4,663 Apr 18, 2017 #3 wamerudishwa wenye applicant no fuatilia kwa mwajiri maana ma hr wanalala sana
tang'ana JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 12,054 Reaction score 16,509 Apr 18, 2017 #4 Wewe kalime bana.
IPYANA MWASAMBUNGU Member Joined Mar 6, 2014 Posts 25 Reaction score 6 Apr 18, 2017 Thread starter #5 naona kimyaa tuu!