ezra essau
Member
- Aug 1, 2014
- 12
- 8
Breaking news:- Basi la kampuni ya Mbaazi linalofanya safari za Moshi Dar limeacha njia na kupinduka eneo la mwanga mkoani kilimanjaro leo tarehe 13/11/2014. Inasemekana kuna abiria wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa. Tutawaletea habari kamili na picha. Endelea kutembelea Wahangaza Blog