Ajari ya basi leo tarehe 13

Ajari ya basi leo tarehe 13

ezra essau

Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
12
Reaction score
8
Breaking news:- Basi la kampuni ya Mbaazi linalofanya safari za Moshi Dar limeacha njia na kupinduka eneo la mwanga mkoani kilimanjaro leo tarehe 13/11/2014. Inasemekana kuna abiria wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa. Tutawaletea habari kamili na picha. Endelea kutembelea Wahangaza Blog
 
Back
Top Bottom