Ajali ...

lusban

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2013
Posts
727
Reaction score
360
Hii ajali imetokea katika barabara ya Shinyanga Mwanza. Hakuna mtu yeyote aliyepoteza maisha, dereva na konda wake wamekimbia. Polisi wamefika eneo la tukio, wakasepa. 'Fire' nao wakazima walipoona hakuna cha kuokoa, wakaishia. HAdi napiga picha hii ni masaa 16 tangu ajali itokee.
 

Kama haina casualties hakuna haja ya ku-post hapa
 
Jamani ajali ni popote pale,kwamtu yeyote yule hivyo basi tumshukuru mumgu kwakua hamna m2aliye fariki.
 
Huyo dereva na konda wake walishakula bange kama kawaida,na ndo maana wamekimbia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…