Duuh!. Pole kwa wote.
Kisiwa cha Murumo ndo kwanza naisikia leo.
Wakuu muoneni huyu amekuwa wa tatu, anaacha kuposti maoni anaposti kuwa wa kwanza sasa ameangukia puaBe first to reply...
Source please!
Wakuu muoneni huyu amekuwa wa tatu, anaacha kuposti maoni anaposti kuwa wa kwanza sasa ameangukia pua
Moto wa umeme unazimwa na maji?Wanajirusha majini badala ya kuchota maji wazime moto!!!
Huwa mtu akicomment hivyo simchukulii kwamba ni mshamba tuu bali pia ni la tatu F.Wakuu muoneni huyu amekuwa wa tatu, anaacha kuposti maoni anaposti kuwa wa kwanza sasa ameangukia pua