The Incognito
Member
- Apr 1, 2012
- 44
- 8
Ni muda mrefu sasa ajali za barabarani zinazidi kuongezeka na kupoteza uhai wa watu wengi,sababu kubwa zinazotajwa sana ni uzembe wa madereva pamoja na ubovu wa miundo mbinu.
Lakini sababu nyingine ambayo haitajwi sana ni rushwa iliyokidhiri miongoni mwa taasisi zinazohusika kusimamia usalama wa vyombo vya moto yakiwamo mabasi ya abiria yaendayo mikoani,kinachotakiwa ni kuwaondoa barabarani madereva bandia na leseni zao za kununua bila kusomea hiyo taaluma.
Tuache kuleta siasa katika jambo ambalo linasababisha kupoteza maisha ya watanzania wasio na hatia.
Lakini sababu nyingine ambayo haitajwi sana ni rushwa iliyokidhiri miongoni mwa taasisi zinazohusika kusimamia usalama wa vyombo vya moto yakiwamo mabasi ya abiria yaendayo mikoani,kinachotakiwa ni kuwaondoa barabarani madereva bandia na leseni zao za kununua bila kusomea hiyo taaluma.
Tuache kuleta siasa katika jambo ambalo linasababisha kupoteza maisha ya watanzania wasio na hatia.