Ajali ya tokea halmashauri ya Mtwara

Ajali ya tokea halmashauri ya Mtwara

mwinch

New Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
4
Reaction score
0
Wanafunzi wapatao wa 5 wafariki dunia, kutokana na ajali hiyo, nawengine zaidi ya 30 majeruhi waperekwa hospitali ya Mkoa!!
 
Wanafunzi wapatao wa 5 wafariki dunia, kutokana na ajali hiyo, nawengine zaidi ya 30 majeruhi waperekwa hospitali ya Mkoa!!

Watu wapo bize na kuchangia threads za siasa.ajali hii ingetokea kaskazini ungeona watu wangelivyo taharuki.
 
Funguka vizuri kuhusu ajali hiyo. Hiyo ajali imehusisha basi la abiria au vinginevyo? limegongana na gari lingine au limepinduka? imetokea lini leo au jana na sehemu gani ya Mtwara ? majeruhi vipi hali zao?
 
ni ajali mbaya sana gari ndogo imewaparamia wanafunzi wakati wanakimbia mchakamchaka na kuua 5 on the spot na majeruhi wengi sana, ni shule inayofadhiliwa na mustafa sabodo ipo nje kidogo ya manispaa ya mtwara
 
Back
Top Bottom