ndege moja ya abiria imepata ajali katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere, ambapo watu kadhaa wamejeruhiwa na kukimbizwa hospitali ya Muhimbili kwa matibabu.
ndege moja ya abiria imepata ajali katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere, ambapo watu kadhaa wamejeruhiwa na kukimbizwa hospitali ya Muhimbili kwa matibabu.
Duh Afadhali. But naomba niulize. kwanini wanavitest wakati matukia ya ajali za moto tunayo Daily Mbona visiwe vinapelekwa huko practically? au hivyo ni kwaajili ya aiport tu?
Duh Afadhali. But naomba niulize. kwanini wanavitest wakati matukia ya ajali za moto tunayo Daily Mbona visiwe vinapelekwa huko practically? au hivyo ni kwaajili ya aiport tu?
Ndugu Magehema, Geoff hana aja ya kufuta kauli yake, ndio ukweli wenyewe unless kama hujasafiri nazo. Ungeweza tu kumshauri apunguze ukali wa maneno lakini bila kufifisha ujumbe.