Naibili
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,878
- 1,060
kuna ajali imetokea hapa Tabata Relini mda huu,
imesababishwa na Lori la kubeba makontena, likiwa linatokea ubungo, dereva wa lori alikuwa akitaka kupitiliza taa nyukundu zilizokuwa zikimtaka asimame, akajaribu kuwahi na kuongeza kasi mbele akakutana na mwendesha boda boda akitokea upande wa tabata dampo ili apite fasta, ndipo walipokutana kati kati ya mataa, mwenye lori gari ikamshinda akaingia upande wa gari zitokazo buguruni, ambazo zilikuwa zimeruhusiwa na taa, hapo
ndipo hatari ilipotokea, kwani lori limegonga gari zisizo pungua tano, dereva kakimbia, kuna vitz ilikuwa imetoka bandarini nayo imeharibika vibaya mnoo, mwenye boda boda amefariki dunia, na kuna majeruhi wengine wawili.
idadi ya waliokufa na ajali hii inaweza kufika watu nane na zaidi, kwa kweli inasikitisha saana,
nnaripoti kutoka eneo la tukio
imesababishwa na Lori la kubeba makontena, likiwa linatokea ubungo, dereva wa lori alikuwa akitaka kupitiliza taa nyukundu zilizokuwa zikimtaka asimame, akajaribu kuwahi na kuongeza kasi mbele akakutana na mwendesha boda boda akitokea upande wa tabata dampo ili apite fasta, ndipo walipokutana kati kati ya mataa, mwenye lori gari ikamshinda akaingia upande wa gari zitokazo buguruni, ambazo zilikuwa zimeruhusiwa na taa, hapo
ndipo hatari ilipotokea, kwani lori limegonga gari zisizo pungua tano, dereva kakimbia, kuna vitz ilikuwa imetoka bandarini nayo imeharibika vibaya mnoo, mwenye boda boda amefariki dunia, na kuna majeruhi wengine wawili.
idadi ya waliokufa na ajali hii inaweza kufika watu nane na zaidi, kwa kweli inasikitisha saana,
nnaripoti kutoka eneo la tukio