Basi la Najmunisa limepata Ajali jana asubuhi maeneo ya Shinyanga lilikuwa likitokea Mwanza kuelekea Dar es salaam.
Ajali imetokea Kama kilometa tatu kutokea stendi ya Shinyanga Chanzo cha Ajali inasemekana tairi ya mbele ilipasuka na kumshinda dereva hivyo kupelekea Basi Hilo kupinduka.
Hadi natoka hapo kwenye tulip ni maheruhi tu ndio niliowaona hakukuwa na mtu amefariki.
Ajali imetokea Kama kilometa tatu kutokea stendi ya Shinyanga Chanzo cha Ajali inasemekana tairi ya mbele ilipasuka na kumshinda dereva hivyo kupelekea Basi Hilo kupinduka.
Hadi natoka hapo kwenye tulip ni maheruhi tu ndio niliowaona hakukuwa na mtu amefariki.