Ajali ya Bodaboda na Gari ndogo Jet Lumo Dar Es Salaam

Satuuuu

JF-Expert Member
Dec 3, 2015
1,849
1,993
Majira ya saa moja na nusu asubuhi hii imetokea ajali kati ya boda na gari ndogo yasemekana chanzo ni muongoza magari aliyopo eneo hilo. Nivyema traffic light zikaachwa zifanye kazi yake.

49f8f072977a3e7732b30b2f76bcb297.jpg
 
Habari yako haijakamilika mkuu!kuna aliye kufa au kuumia?picha pia ongeza mkuu zinazoeleweka..picha gani umeweka?unatoa habari kama hautaki?
 
Back
Top Bottom