"Habari zinaeleza kuwa jioni ya leo Watu 22 wanahofiwa kufa papo hapo na wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa vibaya kufuatia ajali mbaya ya basi iliyotokea maeneo ya Nzega-Tabora wakati likielekea jijini Mwanza." Wenye habari zaidi tujuzane
Kanda ya Ziwa kunani leo?
Source: Michuzi JR