Ajali ya Basi la Mwendokasi

Ajali ya Basi la Mwendokasi

Duduwasha

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
5,703
Reaction score
3,663
Mida ya saa nane nimekuta ajali ya bus la Mwendokasi likiwa limemtandika pikipiki, dereva wa pikipiki alionekana mzima tu sijui alichomokaje pale, ilikuwa ni njia panda ya barabara ya morogoro na Bibi Titi Mohamed.. bahati nzuri hakuna majeruhi Bus limekwanguka bamba kidogo na vipande vidogo vya fiber vimebanduka baada ya pikipiki kuondoshwa... na kwa upande wa pikipiki iliposogezwa na polisi usalama barabarani ilikuwa inasogea kwa Taabu means Imepata damege kiasi... then issue Dereva wa boda boda alikuwa anaomba asamehewe na dereva wa Bus lakini ghafla Traffic aliyekuwa anakagua magari pande ya pili akaja fast na kuanza kupiga picha...mchezo ukaisha wa kuombana ombana..

Bus lilikuwa limeziba njia so foleni ikawa kubwa...pikipiki ikaondolewa tukawa acha.

20170716_143737.jpg

Dereva wa Bus huyo mwenye matege na wa boda huyo koti linaning'inia
 

Attachments

Boda boda munkari nyingi tatizo

Ova
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hivi hii nayo ni ajali ya kusema ajali...??
Unaonekana umekasirika kisa hujaona damu wewe ni blood sucker..

Wajua huyo dereva wa boda boda kitakacho mpata hukumu yake...!
 
Acha ashughulikiwe tu. wengi wao akili zero wawapo barabarani . taa haziruhusi kwake anapita nankujidai watawahi. Kama mtu unaharaka kiasi hicho kwanini asingeenda JANA kabisa.
 
Back
Top Bottom