nadhani ulivyo ukimuona police dudu washa linakutekenyatekenya unatamani uwawekee mkao wa chuma mboga, na niwajuavyo polisi kwenye mambo hayo hawarembi
shetani mkubwa ww uwaombeae binadam wenzio mabaya,kuna nchi gani isiyokuwa na utawala wa sheria? ni kweli kwamba ww,mamako,babako,dadako na ndg yako yeyote yule hawajawahi kupata shida na kwenda polisi? sio unaongea mambo ya k×mak×ma tu