sikuwahi kuliwaza hili suala lakini sasa nalielewa kidogo. Mbali na uzidishaji uzito lakini reli inaweza kuyapunguza kwa zaidi ya 60% endapo itafunction kwa 95% angalau. Hakuna mwizi ambaye yuko tayari kuyaona maloli yake yakikosa kazi kisa treni iko njiani!Malori yamezidi barabarani! Watunga sera ndio hao wanaomiliki malori. Wameiua reli. Hivi vifo vutaendelea kutokea, na hakuna anayejali. Kwa wastani sasa wanakufa watu 3,000 kwa mwaka. Fikiria, hata ukikuta mahali inzi 3,000 wameuawa, lazima ushituke! Tanzania tuamke! Polisi wanakagua kadi ya gari badala ya kukagua breki na mataili!
poleni wananchi wa gairo
Malori yamezidi barabarani! Watunga sera ndio hao wanaomiliki malori. Wameiua reli. Hivi vifo vutaendelea kutokea, na hakuna anayejali. Kwa wastani sasa wanakufa watu 3,000 kwa mwaka. Fikiria, hata ukikuta mahali inzi 3,000 wameuawa, lazima ushituke! Tanzania tuamke! Polisi wanakagua kadi ya gari badala ya kukagua breki na mataili!
Ni kweli kabisa Basi la Champion limegongana na lori la mafuta (Semi-Treller) na watu watano wamekufa hapohapo huko Gairo leo hii
Basi lililohusika ni Super Champion Na. T 277AJR limegongana na Lori la mafuta Na. T 494 BDG dereva a wa basi kakimbia na wa Lori yupo anahojiwa na Traffic police.Wakuu kwa yeyote mwenye taarifa zaidi atufahamishe nimepigiwa simu na ndugu yangu kuwa kuna ajali ya basi imetokea muda si mrefu maeneo ya Gairo ni basi la kampuni ya Champion na lori la mizigo watu sita wamefariki hapohapo na majeruhi ni wengi yeyote mwenye taarifa zaidi atujulishe
Malori yamezidi barabarani! Watunga sera ndio hao wanaomiliki malori. Wameiua reli. Hivi vifo vutaendelea kutokea, na hakuna anayejali. Kwa wastani sasa wanakufa watu 3,000 kwa mwaka. Fikiria, hata ukikuta mahali inzi 3,000 wameuawa, lazima ushituke! Tanzania tuamke! Polisi wanakagua kadi ya gari badala ya kukagua breki na mataili!
sikuwahi kuliwaza hili suala lakini sasa nalielewa kidogo. Mbali na uzidishaji uzito lakini reli inaweza kuyapunguza kwa zaidi ya 60% endapo itafunction kwa 95% angalau. Hakuna mwizi ambaye yuko tayari kuyaona maloli yake yakikosa kazi kisa treni iko njiani!
Poleni sana waliopatwa na mkasa pamoja na familia husika
Ilikuwa deal ya watu, washapiga hela wameona hailipi tena,Vizibiti mwendo viliishia wapi?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums