kunguni wa ulaya JF-Expert Member Joined Mar 16, 2014 Posts 4,131 Reaction score 6,125 Oct 22, 2015 #1 Kuna Lori limepinduka na kuziba njia inayotoka na kwenda buguruni. Naona zinazotoka buguruni zimeanza kupita!foleni ni ndefu.kama unajua njia mbadala pita maana hapa mataa hakufai.
Kuna Lori limepinduka na kuziba njia inayotoka na kwenda buguruni. Naona zinazotoka buguruni zimeanza kupita!foleni ni ndefu.kama unajua njia mbadala pita maana hapa mataa hakufai.
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,410 Reaction score 82,312 Oct 22, 2015 #2 Uwiiiiiiii!Na mimi ndio natokea maeneo ya huku,nimekwisha!!
C CHAZA JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 8,311 Reaction score 5,727 Oct 22, 2015 #3 nifah said: Uwiiiiiiii!Na mimi ndio natokea maeneo ya huku,nimekwisha!! Click to expand... Kutoka Mwenge kwenda Tabata/Buguruni ni shida. Yaani contena liko katikati
nifah said: Uwiiiiiiii!Na mimi ndio natokea maeneo ya huku,nimekwisha!! Click to expand... Kutoka Mwenge kwenda Tabata/Buguruni ni shida. Yaani contena liko katikati
kunguni wa ulaya JF-Expert Member Joined Mar 16, 2014 Posts 4,131 Reaction score 6,125 Oct 22, 2015 Thread starter #4 nifah said: Uwiiiiiiii!Na mimi ndio natokea maeneo ya huku,nimekwisha!! Click to expand... Pole.unatokea wapi?tafuta alternative mapema.
nifah said: Uwiiiiiiii!Na mimi ndio natokea maeneo ya huku,nimekwisha!! Click to expand... Pole.unatokea wapi?tafuta alternative mapema.
C.T.U JF-Expert Member Joined Jun 1, 2011 Posts 5,074 Reaction score 3,753 Oct 22, 2015 #5 haijalalia gari kweli? maana haya madude nayo kaaah
Y YONGOMA JF-Expert Member Joined Jun 16, 2015 Posts 276 Reaction score 113 Oct 22, 2015 #6 Piga Magufuli chini. Kashindwa kuondoa usumbufu wa foleni halafu anataka uRais!!?
Geee JF-Expert Member Joined Nov 11, 2012 Posts 465 Reaction score 93 Oct 22, 2015 #7 nifah said: Uwiiiiiiii!Na mimi ndio natokea maeneo ya huku,nimekwisha!! Click to expand... Pole,aribu hapa Sinza
nifah said: Uwiiiiiiii!Na mimi ndio natokea maeneo ya huku,nimekwisha!! Click to expand... Pole,aribu hapa Sinza
kunguni wa ulaya JF-Expert Member Joined Mar 16, 2014 Posts 4,131 Reaction score 6,125 Oct 22, 2015 Thread starter #8 CHAZA said: Kutoka Mwenge kwenda Tabata/Buguruni ni shida. Yaani contena liko katikati Click to expand... Kama unadrive, uwezekano wa kugeuka upo,pitia shekilango then ubungo maziwa utokezee external.
CHAZA said: Kutoka Mwenge kwenda Tabata/Buguruni ni shida. Yaani contena liko katikati Click to expand... Kama unadrive, uwezekano wa kugeuka upo,pitia shekilango then ubungo maziwa utokezee external.
IGWE JF-Expert Member Joined Feb 3, 2011 Posts 9,714 Reaction score 8,118 Oct 22, 2015 #9 Halafu ukifika hapo ni lazima ulewe hiyo harufu yake_itakua ni la tbl. Anyway..chagua Lowassa kwa elimu zaidi.
Halafu ukifika hapo ni lazima ulewe hiyo harufu yake_itakua ni la tbl. Anyway..chagua Lowassa kwa elimu zaidi.
kunguni wa ulaya JF-Expert Member Joined Mar 16, 2014 Posts 4,131 Reaction score 6,125 Oct 22, 2015 Thread starter #10 C.T.U said: haijalalia gari kweli? maana haya madude nayo kaaah Click to expand... Haijalalia mkuu.
N nassoromoyo New Member Joined Jul 31, 2015 Posts 1 Reaction score 0 Oct 22, 2015 #11 Magufuli Anahusikananini hapo Weusiejielewa
M mockers JF-Expert Member Joined Nov 19, 2013 Posts 12,853 Reaction score 35,588 Oct 22, 2015 #12 Hii ajali ni mbaya ngoja nimpigie wife nimweleze nitalala hukuhuku
Kanali G JF-Expert Member Joined Oct 21, 2013 Posts 9,897 Reaction score 14,435 Oct 22, 2015 #13 nifah said: Uwiiiiiiii!Na mimi ndio natokea maeneo ya huku,nimekwisha!! Click to expand... Sogea hapa Kinyaiya Pub upate nyamachoma wakati ukisubiri Kontena litolewe
nifah said: Uwiiiiiiii!Na mimi ndio natokea maeneo ya huku,nimekwisha!! Click to expand... Sogea hapa Kinyaiya Pub upate nyamachoma wakati ukisubiri Kontena litolewe
Mbalamwezi1 JF-Expert Member Joined Dec 20, 2013 Posts 2,073 Reaction score 2,026 Oct 22, 2015 #14 CHAZA said: Kutoka Mwenge kwenda Tabata/Buguruni ni shida. Yaani contena liko katikati Click to expand... Afu hii midude inaangukaga sehemu ambazo ni very nyeti
CHAZA said: Kutoka Mwenge kwenda Tabata/Buguruni ni shida. Yaani contena liko katikati Click to expand... Afu hii midude inaangukaga sehemu ambazo ni very nyeti
I ibanezafrica JF-Expert Member Joined Oct 23, 2014 Posts 7,261 Reaction score 6,556 Oct 22, 2015 #15 Naaikia Nape nae Kapinduka na gari kama kawaida Makamba amesema yupo salama anaendelea na shughuli za kampeni inabidi tusikilizie tu mmh??!
Naaikia Nape nae Kapinduka na gari kama kawaida Makamba amesema yupo salama anaendelea na shughuli za kampeni inabidi tusikilizie tu mmh??!
Hornet JF-Expert Member Joined Apr 29, 2013 Posts 26,844 Reaction score 52,251 Oct 22, 2015 #16 Mbalamwezi1 said: Afu hii midude inaangukaga sehemu ambazo ni very nyeti Click to expand... naona jamaa kashindwa kukata kona yaani vijana hawajielewi wameshaiba mpaka gunia la mkaa . wanatamani kuvunja contena,nasikia lina maji machafu.
Mbalamwezi1 said: Afu hii midude inaangukaga sehemu ambazo ni very nyeti Click to expand... naona jamaa kashindwa kukata kona yaani vijana hawajielewi wameshaiba mpaka gunia la mkaa . wanatamani kuvunja contena,nasikia lina maji machafu.
makmugani Member Joined Jul 21, 2015 Posts 37 Reaction score 6 Oct 22, 2015 #17 nifah said: Uwiiiiiiii!Na mimi ndio natokea maeneo ya huku,nimekwisha!! Click to expand... Upo maeneo gani
nifah said: Uwiiiiiiii!Na mimi ndio natokea maeneo ya huku,nimekwisha!! Click to expand... Upo maeneo gani
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,410 Reaction score 82,312 Oct 23, 2015 #18 Gide MK said: Sogea hapa Kinyaiya Pub upate nyamachoma wakati ukisubiri Kontena litolewe Click to expand... Asante sana mkuu,nimeshafika home muda kidogo japo kwa kusua sua.
Gide MK said: Sogea hapa Kinyaiya Pub upate nyamachoma wakati ukisubiri Kontena litolewe Click to expand... Asante sana mkuu,nimeshafika home muda kidogo japo kwa kusua sua.
B businessasusual4u Member Joined Nov 22, 2014 Posts 15 Reaction score 1 Oct 23, 2015 #19 Daah.. asante kwa tip hii..Ngoja tuanzee na alternative route...
Mgirik JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 13,258 Reaction score 13,367 Oct 23, 2015 #20 nifah said: Uwiiiiiiii!Na mimi ndio natokea maeneo ya huku,nimekwisha!! Click to expand... hahahahaa! Huku wapi nifah? Wabongo bhana burudaaani Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
nifah said: Uwiiiiiiii!Na mimi ndio natokea maeneo ya huku,nimekwisha!! Click to expand... hahahahaa! Huku wapi nifah? Wabongo bhana burudaaani