Ajali mbaya kimandolu

Ba Martha

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2010
Posts
349
Reaction score
107
Heshima mbele wakuu..

Ajali mbaya ya gari imetokea eneo la kijenge juu kata ya kimandolu muda huu..Inasadikiwa gari aina ya subaru ilikuwa spidi na kumgonga mtu mmoja (mwanaume wa makamo) aliekuwa miongoni mwa watu wengi waliokuwa wanafurahia ushindi wa CDM. Haijajulikana kama kafariki au la kwani kakimbizwa hospitali na wasamaria wema kwani kapoteza fahamu. Tutawajuza kadri habari zitakavyopatikana.

Chanzo: mimi mwenyewe niko eneo la tukio.
 
Unaweza kukuta ni gari ya Nchemba.
Mungu amwokoe majuruhi apone haraka.
 
pole zao wenyewe kiherehere na ushindi wa kawaida.. snap plz..
 
Atakuwa green guard wa maccm
 
Mwenyezi Mungu amponye huyo majeruhi, hata kama alikuwa niwa CCM alikuwa anarudi nyumbani kwa huzuni, uhai wa mtu unamaana sana.
 
Ama kweli UTU wa Mtanzania umekwisha hivi ni jibu ya mtu mwenye akili timamu au kichaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…