Nchi imeoza kwa RUSHWA, mfano hii ajali ya Tabora waliofariki 17, majeruhi 76, ukijumlisha 93 bado ambao hawakujeruhiwa utagundua basi lilikuwa na zaidi ya abilia 100, wakati mabasi mengi uwezo wake ni abilia 66. Rushwa itatumaliza, katiba mpya walarushwa wanyongwe hadi kufa na sheria hiyo itekerezwe mara moja mtu anapohukumiwa, nadhani hii itakuwa tiba kwa ajali.