rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 18,043
- 25,676
We mjinga unamwamini nani?Mimi Manula huwa simuamini. Hachelewi kuunguza nyumba
Hii inamaanisha team huwa inashambuliwa sana.View attachment 1684906So good so far
Kwani akifukuzwa wewe unafaidika na nini? Tuanzie hapo.
Usipomwamini au ukimwamini inampunguzia au kumwongezea nini?Mimi Manula huwa simuamini. Hachelewi kuunguza nyumba
Kukaa kimya wakati mwingine huleta heshimaWachezaji wetu bila uwepo wa NYAU MWEUSI Basi hawezi kitu
Huyo ni shati tu, Metacha aliachwaje?Manula si kipa wa maana, anaicost sana Simba na Stars.....get rid of him asap!
Usipomwamini au ukimwamini inampunguzia au kumwongezea nini?
Kwani i usiende wewe ambaye huwa hufungwi?Si ndo kufungwa kunakuja.
Kwani i usiende wewe ambaye huwa hufungwi?
....well saidNi vyema watu kuelewa kuwa kipa mzuri pia ni muunganiko wa beki nzuri.
Wakati mwingine kipa hufanya makosa kulingana na kosa lililoanzia kwa beki.
Wakati mwingine kosa lawezakuwa ni la kipa binafsi.
Mpira ni mchezo wa kunufaika na makosa ya mwenzako, hivyo hakuna kipa ambaye hafanyi makosa na beki asiyefanya makosa. Ni kwa kiasi gani ndo shida yenyewe. Kuna maamuzi mengine ni ya kimakosa kwa kadri ya sisi tulio nje lakini ndo hupelekea kuokoa goli.
Beki nzuri+kipa mzuri maisha mazuri, kimoja hakiko vizuri hapo tunajikongoja, kama vyote haviko vizuri tunaishia vilio na kusaga meno.
Unamchukia sana Manula. Alikukosea kitu gani ambacho huwezi msamehe? Ungekuwa mwanaume ngesema sisi wanaume huwa hatuwi na roho za hivi. Sema nyie wanawake....daah....mnaweka moyoni sana.sikuchagua kazi hyo.
Ila manula tabia take ya kutokea bila mpango ndomana anatoa boko
Unamchukia sana Manula. Alikukosea kitu gani ambacho huwezi msamehe? Ungekuwa mwanaume ngesema sisi wanaume huwa hatuwi na roho za hivi. Sema nyie wanawake....daah....mnaweka moyoni sana.
Ooooh... Kumbe ndo maana upo hivyo?Kwani wewe Ni MKE wa manula?.
Mbona wivu hivi?