Hakuna ugonjwa mbaya kama stress jaman
acha tu nifungue roho yangu ya furaha mungu pekee ndo anajua hatma yangu
huko jamuhuri ya watu wa FACEBOOK huyu jamaa juz alijiandikia rest in peace to me
na akaandika kama kuna mtu ananidai aje kesho asubuh mweeeee kajinyonga kweli
kamchoma mkewe visu vingi lakin hajafa ila yy ndo rest in peace yake imetimia jaman
haki vitu vinavyoandikwa mitandaon viwe vinafuatiliwa na watu wa karibu wa muhusika wakat mwingine
View attachment 1363636View attachment 1363637