Aisee! Facebook kuna vituko

Hakuna ugonjwa mbaya kama stress jaman😭😭acha tu nifungue roho yangu ya furaha mungu pekee ndo anajua hatma yangu🙏🙏huko jamuhuri ya watu wa FACEBOOK huyu jamaa juz alijiandikia rest in peace to me😢na akaandika kama kuna mtu ananidai aje kesho asubuh mweeeee kajinyonga kweli😪😪kamchoma mkewe visu vingi lakin hajafa ila yy ndo rest in peace yake imetimia jaman😢haki vitu vinavyoandikwa mitandaon viwe vinafuatiliwa na watu wa karibu wa muhusika wakat mwingine
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…