Airtel Money

unalako wewe!!! unataka kufanya kazi za Customer care wa Airtel kwa lugha hizo hata kama sehemu zote zina malalamiko si amesite airtel?
 
habar wana jamvi!natoa malalamiko kama mteja wa airtel pesa,kwamba hi huduma ni pasua kichwa,mara mtandao haupatikan ukikosea kutuma pesa yako hairudishwi ,wanakwsmbia itarudi lakin wapi!usumbufu mtupu!
wahusika ujumbe mmeupata!tunawahama

Una hakika kweli na unachokinena?
Mi nimetuma 1m last week na wala haikusumbua. Nadhani kwa huduma ya mobile money so far ndo the only value added service convenient kabla hawajaanza kuweka makato.
Sijasikia tatizo la network esp kwenye mtandao wa Airtel labda wawe wanatumia hiyo kama excuse kupunguza mwendo kasi wa hiyo biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…