Wakuu.
Naomba nijue, kama airtel internet inafanya kazi ?
Because for last few days IPO SLOW HALIMBAYA. NIPO KWEMYE SWITCHON YA MWEZI.
Ni saidiyeni jamani.
Wakuu.
Naomba nijue, kama airtel internet inafanya kazi ?
Because for last few days IPO SLOW HALIMBAYA. NIPO KWEMYE SWITCHON YA MWEZI.
Ni saidiyeni jamani.
Wakuu.
Naomba nijue, kama airtel internet inafanya kazi ?
Because for last few days IPO SLOW HALIMBAYA. NIPO KWEMYE SWITCHON YA MWEZI.
Ni saidiyeni jamani.
Mkuu hapa nilipo sina hamu!!hadi nikadhani labda ni simu yangu.kwani kama wiki 2 zilizopita nilijiunga na switch on ya mwezi,ilikuwa na spidi ya ajabu!!ila kuanzia juzi yaani ni zaidi ya konokono!!sasa cjui wana maana gani kama sio wizi tu.