Wana jf wenzangu,
Hii kampuni ni uozo tumepata shida since Jumapili tumefika airport tukaambiwa ndege imeharibika Tabora mpaka Jumatatu abiria tukapelekwa K/koo kwenye kihotel bahati mbaya nilikuwa nawahi mazishi Kigoma ikabidi kupanda bus.
Taarifa kutoka kwa abiria wamepelekwa hadi airport wakaambiwa ndege hamna inabidi warudishiwe hela zao baada ya kuwaweka muda wote huo, leo nimemaliza msiba niko Kigoma stranded hakuna ndege pia kibaya zaidi jana nimepiga simu mara 4 wakanihakikishia kuwa ndege leo ipo nikarelax.
Kilichonikera zaidi nimefika ofisini kwao huku jibu ni moja ndege itakuwepo LABDA jioni ila hakuna uhakika na hela wamenirudishia.
Sijielewi nianze vipi na ninatakiwa kuwa kazini kesho this is so unprofessional i wont ever have trust in our rotten air service company called air Tanzania, watu tuko wengi hapa hatuna cha kufanya:thumbdown:😡:what:
Hii kampuni ni uozo tumepata shida since Jumapili tumefika airport tukaambiwa ndege imeharibika Tabora mpaka Jumatatu abiria tukapelekwa K/koo kwenye kihotel bahati mbaya nilikuwa nawahi mazishi Kigoma ikabidi kupanda bus.
Taarifa kutoka kwa abiria wamepelekwa hadi airport wakaambiwa ndege hamna inabidi warudishiwe hela zao baada ya kuwaweka muda wote huo, leo nimemaliza msiba niko Kigoma stranded hakuna ndege pia kibaya zaidi jana nimepiga simu mara 4 wakanihakikishia kuwa ndege leo ipo nikarelax.
Kilichonikera zaidi nimefika ofisini kwao huku jibu ni moja ndege itakuwepo LABDA jioni ila hakuna uhakika na hela wamenirudishia.
Sijielewi nianze vipi na ninatakiwa kuwa kazini kesho this is so unprofessional i wont ever have trust in our rotten air service company called air Tanzania, watu tuko wengi hapa hatuna cha kufanya:thumbdown:😡:what: