Air Tanzania hawajajipanga

commentor

JF-Expert Member
Jan 22, 2014
579
503
wakuu,

Ni jana tu kama sikosei ndipo tulishuhudia waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mh. Kassim Majaliwa akizindua safari mpya (route) ya bombadier ya Dar-Dodoma. Baada ya taarifa ile watu wanafungua tovuti yao ili kununua tiketi za route hiyo wanachokikuta ndio huwezi kuamini...ndege inakuja dodoma mara moja tu kwa wiki yaani siku za ijumaa pekee! hivi hata kama kipindi cha ujima, mtu unaweza kusubiri safari kwa wiki nzima kweli?

Kama bado hawajawa tayari kwa nini walijitangaza? Hii safari ya siku moja kwa wiki inamlenga nani hasa?

Binafsi sijapenda, wangesubiri kwanza wajipate angalau siku 3-4 kwa wiki tungeona wapo serious.

Ni hayo tu.
 
wakuu,
Ni jana tu kama sikosei ndipo tulishuhudia waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mh. Kassim Majaliwa akizindua safari mpya (route) ya bombadier ya Dar-Dodoma. Baada ya taarifa ile watu wanafungua tovuti yao ili kununua tiketi za route hiyo wanachokikuta ndio huwezi kuamini...ndege inakuja dodoma mara moja tu kwa wiki yaani siku za ijumaa pekee! hivi hata kama kipindi cha ujima, mtu unaweza kusubiri safari kwa wiki nzima kweli? Kama bado hawajawa tayari kwa nini walijitangaza? Hii safari ya siku moja kwa wiki inamlenga nani hasa?
Binafsi sijapenda, wangesubiri kwanza wajipate angalau siku 3-4 kwa wiki tungeona wapo serious.
Ni hayo tu.
Dodoma abiria ni wachache, ndege zao pia ni mbili na route ni nyingi. Wanaweka uzito route za mwanza, mbaya, arusha na KIA
 
wakuu,
Ni jana tu kama sikosei ndipo tulishuhudia waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mh. Kassim Majaliwa akizindua safari mpya (route) ya bombadier ya Dar-Dodoma. Baada ya taarifa ile watu wanafungua tovuti yao ili kununua tiketi za route hiyo wanachokikuta ndio huwezi kuamini...ndege inakuja dodoma mara moja tu kwa wiki yaani siku za ijumaa pekee! hivi hata kama kipindi cha ujima, mtu unaweza kusubiri safari kwa wiki nzima kweli? Kama bado hawajawa tayari kwa nini walijitangaza? Hii safari ya siku moja kwa wiki inamlenga nani hasa?
Binafsi sijapenda, wangesubiri kwanza wajipate angalau siku 3-4 kwa wiki tungeona wapo serious.
Ni hayo tu.


Kama ulisoma vizuri tangazo kuna Ndege nyingine zinakuja mwezi Juni isitoshe TZ ni kubwa na ndege tulizonazo hazitoshi kuweka safari ya Dr-Mji Mkuu wetu kila siku!
 
Kama ulisoma vizuri tangazo kuna Ndege nyingine zinakuja mwezi Juni isitoshe TZ ni kubwa na ndege tulizonazo hazitoshi kuweka safari ya Dr-Mji Mkuu wetu kila siku!
Sina tatizo na uchache wa ndege au mpango walionao wa kuleta zingine mwezi Juni, Suala ni - kuna haja gani kujilazimisha kutanua wigo kwa wakati huu? nadhani ingekuwa bora kama wangesubiri zikaja hizo zingine ndipo wakaanzisha route mpya kwa uhakika zaidi. Hebu fikiria kama unategemea usafiri wa ndege yao, yaani ukiondoka ijumaa wiki hii lazima ukae wiki nzima dar ili urudi na ndege!! |***this is krezy (by Idris Sultan)***
 
Sina tatizo na uchache wa ndege au mpango walionao wa kuleta zingine mwezi Juni, Suala ni - kuna haja gani kujilazimisha kutanua wigo kwa wakati huu? nadhani ingekuwa bora kama wangesubiri zikaja hizo zingine ndipo wakaanzisha route mpya kwa uhakika zaidi. Hebu fikiria kama unategemea usafiri wa ndege yao, yaani ukiondoka ijumaa wiki hii lazima ukae wiki nzima dar ili urudi na ndege!! |***this is krezy (by Idris Sultan)***


Sioni shida yako nini, nafikiri ulikuwa tu unatafuta kitu negative kwa leo, sasa umekipata haya usiku mwema!
 
Jamani, najiuliza maswali kadhaa; Kwa nini midege mingine hupenda hata iwe nini lazima uende kutua katika miji yao mikuwa ndipo uendelee na safari zako?? Sitaki toa mifano kwani yanaeleweka hayo. Sasa tuseme, Dar to Njaro, Mz, Bkb, Kg, Ar ni kosa gani zikipitia hapo Dom angalao moja moja kila siku ikienda na kurudi iendako?? Hata ya Kigali na Congo na Burundi ka zipo?? Ni mawazo yangu tu. Ipitie moja hapo kila siku ishushe na kupakia hata mizigo tu. Abiria watapatikana ni kuzoeshana kuwa huduma hii ipo
 
Kama ulisoma vizuri tangazo kuna Ndege nyingine zinakuja mwezi Juni isitoshe TZ ni kubwa na ndege tulizonazo hazitoshi kuweka safari ya Dr-Mji Mkuu wetu kila siku!
Nzi wa Lumumba viherehere sana kwani wewe ni msemaji wa hizo pangaboi?.ukikaa kimya hiyo buku7 hupati?
 
Dodoma wataomba sana lift sababu wameiweka ccm madarakani.. pia kuomba ni jadi yao
 
Back
Top Bottom