Air Jordan Sneakers

Han Solo

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2020
Posts
462
Reaction score
1,079
Wanajamvi,
Wapi naweza pata hivi viatu kwa Dar es salaam?
 
Kariakoo sidhani kama utakosa wasiwasi wangu vinaweza kua copy ya mchina.
 
Vingi ni copy ya Mchina ukileta original utawauzia wachache ni ghali sana.karibu 500,000 Tsh-600,000.
 

Attachments

  • BFC7C5C5-81E7-4244-AE2B-6875EE00B385.png
    42.7 KB · Views: 12
Check jamaa wanaitwa Men Base, utapata copy lakini, kwa TZS 120,000
 
Midosho ile, baada ya mwezi tu halitamaniki.
Og yenyewe inaenda hadi laki 3, na copy yake huwa inauzwa kwa laki na nusu.
Hiyo ya huyo david, sijui hata niiweke kundi gani maana hata hadhi ya copy haina
Mtafute jamaa anaitwa David sports wear anavyo anauza Tsh 35,000
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…