Aina za Uchawi wa Kisambaa

jf nimejiunga 9/9/2014 kuna mambo meng hupaswi kumjudge mtu kutokana na info unazozijua kwake
 
uchawi haupo
Yaliyonikuta huko usambaani sina hamu nao!!ki ukweli huo uchawi wao kama wakiuweka wazi wangekuwa mbali sana!!kulikuwa na kazi tunafanya huko,kwa kutumia generator,tukawa tumezungushia warning tape ili mtu asiyehusika asiingie humo!!mala akaja mzee mmoja akaingia humo,tukaenda kumtoa aka mind kishenzi!!tukafunga jioni tukaenda kulala kwenye nyumba tuliyokuwa tumepanga,bnana asubuhi wote sita tumeamka miili inauma halafu kwenye mabega tuna yale malanda ya mbao na mikwaruzo kwaruzo heeee,tukaenda kwa mwenyeji wetu kumuelezea alicheka sana!!!akasema nyie nendeni tu kazini,nitakuja huko huko!!tumefika site washa jenerata wapi,tukamtafuta fundi,akaja akalikagua haoni tatizo lolote,akajiongeza alasema hebu tulitoe hapo site twende nalo center kama km tano,kutoka site!!akasema hebu washa sasa,kick moja tu likawaka akacheka sana!!!kila ukizima unawasha tu,haya turudi site,tumefika washa na wewe wapi!!fundi akaondoka akasema hili liko nje ya uwezo wangu!!!ndipo akaja yule mwenyeji wetu tukamueleza ,akasema powa ngoja niende home kuna kitu nikachukue,akasema yule mzee ndio zake hizo lakini leo,nitapambana naye,akachukua kibuyu na dawa dawa,fulani,akaongeaa maneno na kuzichoma,badaye akasema hebu washa!!BNANA kick moja tu jenerata hiyooooo!!!daaa haya mambo,hadi tunamaliza kazi ile zaidi ya wiki mbili hatukupata shida yoyote ile!!!ila alituonya tu ni marufuku kulia nje kitu chochote kile.
 
Hiyo KOPERA huku usukumani huwa tunaita UGINDU
Hao wataalam wanadili na mazao mda wa kuvuna usipokuwa makin mazao yako unagawana nao
πŸ˜† πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ kwahyo wanachukuaje? Natamani kujua mechanisms wanayotumia kuyachukua
 
ushinga na ntigo si zina maaana sawa
Ushinga huponi, ukitegewa hauchukui masaa ya kuwepo duniani, ila inategemeana na aina ya ushinga

Nimeshawahi kuwaona waliotegewa na kuwazika, wanakufa kifo cha mateso tumbo na kiuno vinauma sana, mwisho akishakata kauli mlingoti unasimama, na huzikwa ukiwa dede
 
Umesahau USHINGA

Ukila mke wa mtu wanakuonya kama husikii unaendelea kumla huyo mwanamke

Basi watamwekea mwanamke USHINGA siku ukiingiza tu libolo FC hapa sehemu ya chini ya mwili wako inakufa ghafla na unaweza kufa Moja kwa moja.

Pona Yako wakikuwahisha kwa wataalanu

Utakatwa miguu utakuwa kilema maisha Yako yote.

Nimeshwa shuhudia mtu akiwa mzima tu one day nakutana nae Hana miguu anajiburaza mtaani na mikono ndio kuuliza ilikuaje yule jamaa wakaniambia USHINGA mzee huo

Wasambaa nuksi sana
 
Haya mambo yapo ila watu wanaangamia kwa kukosa maarifa, hasa kwa kuzingatia hizi dini za kigeni. Ukipigwa na huo uchawi ukiendekeza kusali unapoteza maisha.
umeandika jambo la maana sana ushukuriwe hapa nipo napambana na uchawi wa wazazi wangu wamenipa vipele vya joto nikikaa kwa jua mwili unasikia kama unachoma chomwa na sindano nyingi hadi unavimba aisee watalipanaskia unaitwa CHAWA NI UGONJWA MPYA.

Haya mambo yapo ila watu wanaangamia kwa kukosa maarifa, hasa kwa kuzingatia hizi dini za kigeni. Ukipigwa na huo uchawi ukiendekeza kusali unapoteza maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…