Aina za hasira za wanawake

1
 
Asee nina namba 2 ni hatari sana. Sema kila kidume anawish kupata namba 1 ila cha ajabu wengi tunajikuta tupo kwenye 2,3 & 7!
Niliwahi kuwa na 3 ni raha sana maana napata wasaa wa kumbembeleza hadi anacheka. Was really fun!

Ha ha ha na uzuri wa no 3 huwezi kununa week yaani utanuna siku 1 ya pili unatamani uongeleshwe maana hasira zinakua zishaisha, inaboa kweli.
 
Umesahau namba muhimu sana mkuu!
0:Mwanamke akikasirika anaenda kutoa papuchi kwa muuza mkaa aliyekuwa anamkataa for 5years ago

Sent by Diaspora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…