Poleni sana vijana, bahati mbaya kampeni zimeishapita sijui nani atawasikiliza.... Kale kaBoss kafupi kanaitwa Mlacha kana nyonya mavi lake huwa kanalikodisha kwa chuo, labda mkaambie kaje kuwaletea maji kupitia hilo nyonya mavi. Jifunzieni kugoma ktk hii issue msiogope kukiangusha chama chenu cha mapinduzi, jifunzeni ushupavu wa vijana wa vyuo vingine ambao wakiletewa za kuleta wanagoma. Hivi ile milioni moja mliyomchangia JK kuchukua fomu si ingewasaidia kununua maji????Achana nao hao vijana wooote ni CCM, hawajui kugoma wala kuomba haki zao. Hata ikichukua week mbili huwezi waona wakipiga kelele maana wamechoka walikuwa kwenye kampeni. Hivyo achana nao hao hata wakikosa mwezi mzima
Sikutegemea chuo kipya na kinachojijengea umaarufu kama hiki kikose maji. Hebu tazama, mtu unaenda ****** unakutana na kinyesi cha jana! Mtu kaenda na kikopo cha maji lita moja na baada ya kujisafisha yeye anaondoka.Ndiyo, atawezaje ku-flash uchafu kwa maji mengi wakati hata hayo kidogo kayahangaikia kuyapata? Hata kampuni inayohusika na usafi itapata wapi maji? Asubuhi utashangaa msomi wa masters akirandaranda bila kujua atapata wapi nusu ndoo akaoge.
Inauma sana! Leo nimezunguka nusu saa bila kupata walau tone la maji, nikaamua kwenda cafeteria kwa wapishi maana wanayo matanki, nao wakanifukuza lakini mkuu wao akanionea huruma akaniita kanipa robo ndoo (lt 5) na akasisitiza nisipite njia nilokuja nayo ili wahusika wasinione.
Inauma sana! Mliopita Universities hebu pigeni picha muone maisha haya.Kama nikawaida au la! Sijui aliye responsible ni nani abebe hii kashfa!
Inauma sana. Naomba aliye karibu na mhusika amwambie kabla hatujaanza kuvunjiana heshima.
Sikutegemea chuo kipya na kinachojijengea umaarufu kama hiki kikose maji. Hebu tazama, mtu unaenda ****** unakutana na kinyesi cha jana! Mtu kaenda na kikopo cha maji lita moja na baada ya kujisafisha yeye anaondoka.Ndiyo, atawezaje ku-flash uchafu kwa maji mengi wakati hata hayo kidogo kayahangaikia kuyapata? Hata kampuni inayohusika na usafi itapata wapi maji? Asubuhi utashangaa msomi wa masters akirandaranda bila kujua atapata wapi nusu ndoo akaoge.
Inauma sana! Leo nimezunguka nusu saa bila kupata walau tone la maji, nikaamua kwenda cafeteria kwa wapishi maana wanayo matanki, nao wakanifukuza lakini mkuu wao akanionea huruma akaniita kanipa robo ndoo (lt 5) na akasisitiza nisipite njia nilokuja nayo ili wahusika wasinione.
Inauma sana! Mliopita Universities hebu pigeni picha muone maisha haya.Kama nikawaida au la! Sijui aliye responsible ni nani abebe hii kashfa!
Inauma sana. Naomba aliye karibu na mhusika amwambie kabla hatujaanza kuvunjiana heshima.
Chuo 'Vodafasta'....Hicho chuo hakina tofauti na hizi sek za kata
:nono: Wacha muipate. si nyinyi ndiyo mlizunguka nchi nzima kusainisha fomu?