Nina wiki mbili sijatazama Tbc 1, Dk Mkumbo alisema ITV ndio Tv ya Taifa, na hakukosea.
Haiishii TBC 1 tu, kuna wakati kipindi cha michezo cha redio TBC kilikuwa bora, tangu CCM wamtimue Tido, kila kitu kimedorora, naona hata wafanyakazi wamekufa moyo, Charles Msami namsikia BBC siku hizi, Joe Kihampa na Pendaeli Omari sijui wameishia wapi.