Aibu stendi ya Msamvu Morogoro

Usijali ndugu zimefika na nimekusamehe mtanzania mwenzangu mpenda maendeleo kama mimi.....tujitahidi kukemea mambo yanayorudisha nyuma maendeleo, kama suala hilo la stendi ya msamvu.
Basi sawa.........
 
Msamvu wameshindwa kujenga ile stend kwa miaka mingi na ushuru wanachukua
 
kila kitu muwekezaji tu,nenda wew ukajiwekeze

Mkuu umeongea kwa jazba......mi nilitoa wazo tu,uwezo wangu wa kufikiria umeishia hapo na wewe toa wazo mbadala ili tuisaidie jamii
 
hv msamvu n stand pale n gerej tu hamna jpya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…