Ahsante sana Mh. Waziri Mkuu, Kila mtu ana haki ya kusikilizwa

Tanzania Njema Yaja

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
3,042
2,414
Haki ya kusikilizwa ni basic principal katika kutenda haki.... ni haki mama na ndo maana kuna mahakama....

Mheshimiwa waziri mkuu, swali lako moja tu jana pale bandarini wakati unamhoji yule mama kuhusu flow meters, limewafanya watu wengi wajue mengi sana... kwamba kuna waziri alituma sms masaa 24 kabla wewe kwenda kutembelea pale wakati hizo mita zilikuwa hazitumiki zaidi ya miaka 5, najua hapo kuna maswali
mengi tu ya kujiuliza na mimi sio nia
yangu kwenye uzi huu...

Nia yangu hasa ni kuelezea umuhimu wa kuwapa watuhumia nafasi ya kujieleza maana ki ukweli yuke mama alivo kuwa anaongea na kutetemeka,
wengi tuliisha mhukumu lakini nyoyo
za watu zimebadilika baada ya lile swali lako moja tu " naliita la kientelejensia" na yeye kusema alitumiwa sms.... ahsante waziri mkuu...

Kwa kumalizia, kumpa yule mama nafasi ya kuandika barua na kujieleza pia nimeifurahia ili na wewe ujiridhishe na kutumbua jipu kama utalikuta au la... ni suala la kujiridhisha tu.... lakini bila hivo majipu yakitumbuliwa juu kwa juu, wakuu wetu mnao toa
maamuzi yanayo weza waumiza watu kwa kusema tu unaweza kujikuta umeumiza watu wengi, kuharibu career za watu na hata watu wengine kujiua na kuondoa morali maofisini.... hii ni kwa sababu wafanyakazi wanajuana, kama mtatumbua majibu
bila kujiridhisha na kutumbua mtu kimakosa, wengibe watabaki wanasema " hata huyu" na mwisho watz hatutapata tunacho taka maana nia yenu ni njea....

Mh. Waziri mkuu, maneno yenu tu yanayosha kabisa kuhukumu.... kuna usemi "ombi la Raisi/ Waziri mkuu ni Amri" hivo bila kujiridhisha na mkatuma vyombo vya uchunguzi tu baada ya nyie kuonyesha kuna jipu, vyombo vyenyewe vitaumizwa na usemi huo hapo juu na mnaweza kuta watu wanaumia wakati hii sio nia yenu...

WAPEN WATU NAFASI YA KUJIELEZA KAMA ULIVO FANYA MH. WAZIRI MKUU... AHSANTE SANA....

UPDATE:

Cheki hapa mahojiano hayo:

 
Mh. Profesa sospeter muhongo anatengezewa jungu la kumtoa
Huyu Muhongo asithubutu kumsingizia Mengi safari hii. Ahukumiwe yeye mwenyewe kwa kuhujumu safari za kushitukiza za PM. Na kwa hakika Muhongo alikuwa anaijua vema hujuma hii huko port.
 
Aliyetuma sms kavujisha siri ya ziara ya waziri mkuu.............!!!!!!!!!!!!!
 
Aliyetuma SMS ya kutaka meter zifunguliwe kabla ya ziara ya kushitukiza ya PM ndiye anahusika pia na kusimamisha meter zisitumike. Hapa pana tatizo tena kubwa tu, tulisema raisi wa awamu ya nne ni dhaifu watu walirusha ngumi hewani. Haya yanayoitwa majipu ambaye yaliye muota ndiye anayejitumbua mwenyewe ni kudanganyana tu. Haya yote yalifanyika ndani ya serikali ya ccm tokea awamu ya pili mpaka ya nne, eti awamu ya tano inajitumbua. Waliosema mganga hajigangi hawakukosea.
 
Magufuli tengua uteuzi Mhongo, maana huyo tayari ni Simba kwenye Kundi la Swala.!
 
Mwanzoni kabisa sikumuamini PM, na sasa sio kwamba namuamini bali mwelekeo unakuja. Sawa na JPM kwa kuwa na asili ya chama kile kile ambacho watu wanatafuta 'masters' za kujiondoa kwenye matatizo lakini chenyewe kinatafuta 'PhD' za kuendelea kuwabakisha watu wake kwenye matatizo.
Kauli ya mwanzo kabisa ya JPM kuwa 'mwenyekiti unafuga wanafiki ndani ya chama' naombea naye isije kumtafuna kwa 'kufuga wanafiki walewale' ndani ya serikali!
Tunawaombea kama walivyotuomba kufanya.
 
Haki ya kusikilizwa ni basic principal katika kutenda haki.... ni haki mama na ndo maana kuna mahakama....

Mheshimiwa waziri mkuu, swali lako moja tu jana pale bandarini wakati unamhoji yule mama kuhusu flow meters, limewafanya watu wengi wajue mengi sana... kwamba kuna waziri alituma sms masaa 24 kabla wewe kwenda kutembelea pale wakati hizo mita zilikuwa hazitumiki zaidi ya miaka 5, najua hapo kuna maswali
mengi tu ya kujiuliza na mimi sio nia
yangu kwenye uzi huu...

Nia yangu hasa ni kuelezea umuhimu wa kuwapa watuhumia nafasi ya kujieleza maana ki ukweli yuke mama alivo kuwa anaongea na kutetemeka,
wengi tuliisha mhukumu lakini nyoyo
za watu zimebadilika baada ya lile swali lako moja tu " naliita la kientelejensia" na yeye kusema alitumiwa sms.... ahsante waziri mkuu...

Kwa kumalizia, kumpa yule mama nafasi ya kuandika barua na kujieleza pia nimeifurahia ili na wewe ujiridhishe na kutumbua jipu kama utalikuta au la... ni suala la kujiridhisha tu.... lakini bila hivo majipu yakitumbuliwa juu kwa juu, wakuu wetu mnao toa
maamuzi yanayo weza waumiza watu kwa kusema tu unaweza kujikuta umeumiza watu wengi, kuharibu career za watu na hata watu wengine kujiua na kuondoa morali maofisini.... hii ni kwa sababu wafanyakazi wanajuana, kama mtatumbua majibu
bila kujiridhisha na kutumbua mtu kimakosa, wengibe watabaki wanasema " hata huyu" na mwisho watz hatutapata tunacho taka maana nia yenu ni njea....

Mh. Waziri mkuu, maneno yenu tu yanayosha kabisa kuhukumu.... kuna usemi "ombi la Raisi/ Waziri mkuu ni Amri" hivo bila kujiridhisha na mkatuma vyombo vya uchunguzi tu baada ya nyie kuonyesha kuna jipu, vyombo vyenyewe vitaumizwa na usemi huo hapo juu na mnaweza kuta watu wanaumia wakati hii sio nia yenu...

WAPEN WATU NAFASI YA KUJIELEZA KAMA ULIVO FANYA MH. WAZIRI MKUU... AHSANTE SANA....
Haya, huyo mama Kasimamishwa kazi (katumbuliwa) tayari.... Endelea kutoa sifa za kijinga kwa Majaliwa!
 
Mwanzoni kabisa sikumuamini PM, na sasa sio kwamba namuamini bali mwelekeo unakuja. Sawa na JPM kwa kuwa na asili ya chama kile kile ambacho watu wanatafuta
'masters' za kujiondoa kwenye matatizo lakini
chenyewe kinatafuta 'PhD' za kuendelea kuwabakisha watu wake kwenye matatizo.
Kauli ya mwanzo kabisa ya JPM kuwa 'mwenyekiti unafuga wanafiki ndani ya chama' naombea naye isije kumtafuna kwa 'kufuga wanafiki walewale' ndani ya serikali!
Tunawaombea kama walivyotuomba kufanya.

Mkuu umenena kwa hekima..... Wanafiki na wenye access nae watampelekea mengi tu na kama atatoa maamuzi bila wengine kuwapa nafasi ya kujitetea itakuwa ni shida.... kuna watu waadilifu kabisa na wanafanya kazi kwenye mfumo huu ovu.... kwa sababu ya shida za ajira afanyeje, akimnyooshea kidole bosi basi tena watoto hawaendi shule..... Mh. Raisi awabane watendaje wake sana na yeye atekeleze wajibu wake kwa kuwapa nafasi watu wajieleze na afanye maamuzi akiwa amejiridhisha yeye na watendaji wake wote....
 
Mwanzoni kabisa sikumuamini PM, na sasa sio kwamba namuamini bali mwelekeo unakuja. Sawa na JPM kwa kuwa na asili ya chama kile kile ambacho watu wanatafuta
'masters' za kujiondoa kwenye matatizo lakini
chenyewe kinatafuta 'PhD' za kuendelea kuwabakisha watu wake kwenye matatizo.
Kauli ya mwanzo kabisa ya JPM kuwa 'mwenyekiti unafuga wanafiki ndani ya chama' naombea naye isije kumtafuna kwa 'kufuga wanafiki walewale' ndani ya serikali!
Tunawaombea kama walivyotuomba kufanya.

Mkuu umenena kwa hekima..... Wanafiki na wenye access nae watampelekea mengi tu na kama atatoa maamuzi bila wengine kuwapa nafasi ya kujitetea itakuwa ni shida.... kuna watu waadilifu kabisa na wanafanya kazi kwenye mfumo huu ovu.... kwa sababu ya shida za ajira afanyeje, akimnyooshea kidole bosi basi tena watoto hawaendi shule..... Mh. Raisi awabane watendaje wake sana na yeye atekeleze wajibu wake kwa kuwapa nafasi watu wajieleze na afanye maamuzi akiwa amejiridhisha yeye na watendaji wake wote....
 
Haki ya kusikilizwa ni basic principal katika kutenda haki.... ni haki mama na ndo maana kuna mahakama....

Mheshimiwa waziri mkuu, swali lako moja tu jana pale bandarini wakati unamhoji yule mama kuhusu flow meters, limewafanya watu wengi wajue mengi sana... kwamba kuna waziri alituma sms masaa 24 kabla wewe kwenda kutembelea pale wakati hizo mita zilikuwa hazitumiki zaidi ya miaka 5, najua hapo kuna maswali
mengi tu ya kujiuliza na mimi sio nia
yangu kwenye uzi huu...

Nia yangu hasa ni kuelezea umuhimu wa kuwapa watuhumia nafasi ya kujieleza maana ki ukweli yuke mama alivo kuwa anaongea na kutetemeka,
wengi tuliisha mhukumu lakini nyoyo
za watu zimebadilika baada ya lile swali lako moja tu " naliita la kientelejensia" na yeye kusema alitumiwa sms.... ahsante waziri mkuu...

Kwa kumalizia, kumpa yule mama nafasi ya kuandika barua na kujieleza pia nimeifurahia ili na wewe ujiridhishe na kutumbua jipu kama utalikuta au la... ni suala la kujiridhisha tu.... lakini bila hivo majipu yakitumbuliwa juu kwa juu, wakuu wetu mnao toa
maamuzi yanayo weza waumiza watu kwa kusema tu unaweza kujikuta umeumiza watu wengi, kuharibu career za watu na hata watu wengine kujiua na kuondoa morali maofisini.... hii ni kwa sababu wafanyakazi wanajuana, kama mtatumbua majibu
bila kujiridhisha na kutumbua mtu kimakosa, wengibe watabaki wanasema " hata huyu" na mwisho watz hatutapata tunacho taka maana nia yenu ni njea....

Mh. Waziri mkuu, maneno yenu tu yanayosha kabisa kuhukumu.... kuna usemi "ombi la Raisi/ Waziri mkuu ni Amri" hivo bila kujiridhisha na mkatuma vyombo vya uchunguzi tu baada ya nyie kuonyesha kuna jipu, vyombo vyenyewe vitaumizwa na usemi huo hapo juu na mnaweza kuta watu wanaumia wakati hii sio nia yenu...

WAPEN WATU NAFASI YA KUJIELEZA KAMA ULIVO FANYA MH. WAZIRI MKUU... AHSANTE SANA....


Mkuu Tanzania Njema Yaja, Waziri Mkuu ametoa nafasi kwa watuhumiwa ya kuwasikiliza na kujieleza kama alivyoagiza kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda. Amesema hivi (nanukuu)....

"Katibu Mkuu Viwanda, waandikie barua ya kuwasimamisha kazi ili kupisha uchunguzi. Katika kipindi hiki hawatatakiwa kusafiri kwenda popote hadi uchunguzi utakapokamilika. Pia utafute mtu wa kukaimu nafasi hizo ili kazi ziendelee. Pia TAKUKURU na polisi waandikiwe barua ili wafuatilie suala hilo mara moja na ikithibitika kuwa walihusika hatua rasmi zichukuliwe na ikithibitika hawakuhusika basi watarudishwa."


Mwisho wa kunukuu!
 
Haya, huyo mama Kasimamishwa kazi (katumbuliwa) tayari.... Endelea kutoa sifa za kijinga kwa Majaliwa!

Elimu Elimu bado ni shida sana hapa kwetu..... atumbuliwe kama ana kosa ba baada ya mh. Waziri mkuu kujiridhisha alipo pewa nafasi ajieleze.... ni sawa na kumchapa mtoto kibao kabla hujamsikiliza na baadae ukakuta kumbe ile elfu 10 uliyo mkuta nayo alipewa na mama ake akanunue daftari....
 
Huyu mtuma sms ni mafiki mkubwa,but kuna njia nyingi za kuingilia watu kwenye mitandao liangaliwe hilo kwanza!
 
Back
Top Bottom