trisha cute
Senior Member
- Dec 1, 2020
- 194
- 608
Mama enzi zako hakukua na insta, facebook, whatsapp, badoo, tagged , tinder sikuhizi watu wanatongozana mitandaoni wanaitana mume mke kabla hata ya kuonana
wanaombana nauli/ hela wakinyimana wanablokiana mambo yamekua rahisi mpaka ndoa zimekua za kawaida
Halafu pia vijana wa sasa akikutokea ukamwambia nipe muda, ni bora ujibu hapohapo kuwa unamtaka au humtaki maana ukimwambia swala la kukupa muda anaona umemdharau, ukija kumkubalia anakumega halafu unatemwa.
#Ahsante kwa experience yako mama lakini kwa sasa formula hazifanani
wanaombana nauli/ hela wakinyimana wanablokiana mambo yamekua rahisi mpaka ndoa zimekua za kawaidaHalafu pia vijana wa sasa akikutokea ukamwambia nipe muda, ni bora ujibu hapohapo kuwa unamtaka au humtaki maana ukimwambia swala la kukupa muda anaona umemdharau, ukija kumkubalia anakumega halafu unatemwa.
#Ahsante kwa experience yako mama lakini kwa sasa formula hazifanani


