BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
lolest! jamani mmejione wenyewe, kumbe miye wa ukweeehehhh!
nilimfunda Erotica kesho yake akapata mchumba aliyenunua na mimba yake ya mapacha.
nilimwekea tego Asprin ili asiendelee kuleta uharibifu kwa ndoa ya cacico na Young_Master.
nilizama msituni kutafuta dawa na kisha kumpatia na sasa amerudi ulingoni. Ama kweli gfsonwin yuko juu aisee.
sasa leo natangaza rasmi kwamba Kaizer twende zetu tukapatepo raha huyu Asprin aendelee kukagua wajukuu zake ila tu awe makini safari hii hatakojoa dagaa bali samaki kabisa.
Babu Asprin nakuja kwanza ..Ni juu ya nini tena ? kumbe kuna mtu alikuwa anakupapasa ? Mjukuu wako Mtiifu MJ1 ana habari ya huu utenzi??
Na je huu Utenzi una TBS?
una undugu na maji marefu?
Eti MwanajamiiOne kafulia Mbu kamnyonya damu yote.
Kungwi aka mwalimu aka daktari wa ODM nakusalimu kwa amani ya bwana!weye mbona mmbea sana lakini? nafikiri nikuandalie msuto ama kitchen party gala
Hili tangazo hukupaswa kuliweka chini kabisa ya NGONJERA umeweka chini sasa mi nimemaliza kuisoma ndio nakuta kuwa sipaswi kuisoma Lol sasa niko naangalia namna ya KUANIDUHaki zote zimehifadhiwa. Hairuhusiwi kusomwa na Young_Master, Erickb52, Mentor, Lily Flower na FirstLady1
nashangaa!huyu asprin mpaka ashushwe mshipa ndo ataadabika.